Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Wanaiga tabia za wahindi eeh, chapa bakora
WazaziNani wa kulaumiwa?!
Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
Usikute kuna mmoja wa wafumaniwa ni 'kitanda hakizai haramu'..like..seriously?!!
Hizo story tuu! Nashangaa unasahau mapema sana! Ushoga uliokithiri hapo Zanzibar na Mombasa ni wakristo? Zaidi ni kwamba kuna shoga alihojiwa clouds FM kipindi cha njia panda wateja wake wakuu ni waarabu wa mwanza alikokulia na hapo tusemeje?
Hizo story tuu! Nashangaa unasahau mapema sana! Ushoga uliokithiri hapo Zanzibar na Mombasa ni wakristo? Zaidi ni kwamba kuna shoga alihojiwa clouds FM kipindi cha njia panda wateja wake wakuu ni waarabu wa mwanza alikokulia na hapo tusemeje?
kama akili ni nywele wewe zako ni za chini, zimefichwa hazina cha kufikiria!
Maana yangu ni hii... Mzazi ukikuta wanao wanadharirika usiwadharirishe zaidi., tafuta namna ya kuwasitiri...like..seriously?!!
Ukiona hivyo ujue na watakatifu pia wapo wengi ndo maana shetani haashi kuwawinda waliolegeaVatican kunazidi zanzibar kwa skendo na ushabiki wa ushoga fanya tafiti!
Nani wa kulaumiwa?!
Acha fikra changa waarabu na uislam wao ndio wanaoongoza kwa kuoa ndugu zao
Dare to talk openly,wamefumaniwa wanafanya nini?Wanakomba mboga,wanakwiba pesa,wanauza tv etc?Kwanini mnawapiga!
mkuu hivi yule aliyemlawiti mtoto msikitini tena huku kamshikisha Quran naye ni kasisi?
na yule aliyemlawiti mtoto na kisha kumuua naye ni kasisi? au hukuyasikia hayo na hujui aliyefanya hivo?
mkuu kiufupi dini haitendi ushenzi wanaotenda ushenzi ni watu, uwe Muslim au Christian, matendo ni ya kwako binafsi usisingizie dini na watu wa dini zote tu wapo wanaotenda ushenzi na wapo wema.