mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
.
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Leta ushahidi kutoka kwenye vyanzo vya dini
Dhambi ni msukumo wenye nguvu ambao unatufanya sisi tupende kuziendea njia ambazo ni kinyume kabisa na mapenzi ya Mungu. Kwa hiyo, badala ya kubarikiwa kwa kuyafuata mapenzi ya Mungu, tunaadhibiwa kama tutaishi kwa kuzifuata na kuishi kwa kufuata tamaa za Shetani, ambazo ndizo dhambi. Njia na matendo ya Shetani ni kinyume kabisa na zile za Mungu. Mungu anazichukia dhambi (Mithali 6:16-19). atendaye dhambi ni wa Ibilisi; (au Shetani) kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. (1Yohana 3:8).Dhambi ni nini kwa lugha rahisi kabisa yenye mantiki? Dhambi kiasi mpaka hata mtu anafikisha umri wa miaka 60 kiuno kama kimwekwa super glue, miguu utazani imegongwa na nyundo? Enzi za Nabii Ibrahimu naona mzee ana miaka 100+ na anapiga mzigo kama 20s fulani hivi.
Mkuu bado sijaona jibu hapo zaidi ya maneno yasiyo na msingiUNCLE USIJARIBU KUFIKIRI KUOA DADA YAKO AU NDUGU WA DAMU UTAJILETEA MATATIZO KIBAO KWANI NAONA UNATAFUTA UHALALI WA KUMWEKA NDUGU KINYUMBA UKIENDELEZA UBAZAZI NA USHETWANI ULIOKUJAA KATIKA FIKRA ZAKO. KWANI SIONI MANTIKI YA SWALI LAKO.Kesho ubwabwa utakuwepo kwa mtaalamu wa kucheza na koboko.
Kwa mazingira yaliyopo hapo kale walioana ndugu na hapakuwa na shida. Kwani wao kama ni shamba ndo walikuwa mbegu, kulana na kutafunana ilikuwa sio shida. Ndo maana katika vitabu idadi ilikuwa ni ya wanaume tu, na hata leo misemo iliyopo katika jamii zetu ni kuwa "mwanaume, nduguyo ni mwanaume mwenzio".Sababu wanawake walionekana kama bidhaa zaidi pasipo kujali utu wao. Lakini sasa mambo yamebadilika sana kutokana na idadi ya watu na maendeleo kuongezeka.Mkuu bado sijaona jibu hapo zaidi ya maneno yasiyo na msingi
Hapo sawaKwa mazingira yaliyopo hapo kale walioana ndugu na hapakuwa na shida. Kwani wao kama ni shamba ndo walikuwa mbegu, kulana na kutafunana ilikuwa sio shida. Ndo maana katika vitabu idadi ilikuwa ni ya wanaume tu, na hata leo misemo iliyopo katika jamii zetu ni kuwa "mwanaume, nduguyo ni mwanaume mwenzio".Sababu wanawake walionekana kama bidhaa zaidi pasipo kujali utu wao. Lakini sasa mambo yamebadilika sana kutokana na idadi ya watu na maendeleo kuongezeka.
Mkuu bado sijaona walipoanza kuishi peponiAngalia aya ya 31 mpaka 33.
Za quran.
Zinavyofanana na aya za biblia.aya ya 19.
JAMANI MUNGU YUPO.View attachment 1733981View attachment 1733982
Mkuu bado sijaona walipoanza kuishi peponi
Akijibu nitag
Mbona sijaona walipoandika walianza kuishi peponi
Bustani ya Edeni ipo nchi gani kwa sasa duniani?Si nimetoa AYA HIZO SOMA ZOTE.
za biblia kuanzia aya ya 10.
Kama tunavyoona hapo, kulikuwa na mto uliokuwa unatoa maji kutoka bustanini na baadaye ukagawanyika katika vichwa vinne, na viwili kati ya hivyo (yaani Hidekeli na Frati) vinajulikana mpaka sasa na vipo maeneo ya nchi ya Iraq, ili kusoma na kufahamu zaidi historia yao fungua hapa >>>> Mto frati na Hidekeli Na hiyo imewafanya masomi wengi wa biblia kudhania kuwa Edeni ilikuwa maeneo ya nchi ya Iraq au kando kando yake.Mwanzo 2:8 “Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.
9 Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne.
11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;
12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.
13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.
14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati”.