Kaini alipata wapi mke wake?

Kaini alipata wapi mke wake?

Adamu aliishi miaka 900 na ushee. Katika muda huo alizaa watoto kibao. Familia ya Yakobo ilikaa Misri miaka 400 na wakatoka watu 2m.

Sasa fikiria Kaini labda alioa miaka 500 baada ya kumuua ndugu yake, si alikuta dunia imejaa vitukuu na vituu vya Adamu. Vingine ni vidangaji havijali kuwa wewe ni Kaini au umevipita miaka 460.
Weak point.
 
Ukisoma "The book of Adam and Eve" (Hakipo kwenye biblia ya kawaida),Utakuta mistari hii hapa chini.

2 And thereafter, Cain slew Abel, but Adam was then one hundred and thirty years old, but Abel was slain when he was one hundred and twenty-two years. And thereafter Adam knew his wife and he begat a son and called his name Seth.

xxiv 1 And Adam said to Eve, 'Behold, I have begotten a son, in place of Abel, whom Cain slew.'

2 And after Adam had begotten Seth, he lived eight hundred years and begat thirty sons and thirty daughters; in all sixty-three children. And they were increased over the face of the earth in their nations.
Hapo utaona Adam alizaa watoto 63 jumla wakike 30 na wakiume 33,walioana wao kwa kwao na kuzaliana.So kuna uwezekano mkubwa pia Cain alimuoa moja ya dada zake pia.
Kama haipo kwenye Biblia basi haina nguvu. Tunataka maandiko ya bible
 
Uzao wa adam na HAWA haukuwa wa kawaida kama sasa hivi.
adam alikuwa anatembeza mashine usiku na mchana.na mama hawa alikuwa anazaa nwendo wa mapacha mapacha.
mimi na wewe tusingeweza kuijaza dunia.
 
Ukisoma "The book of Adam and Eve" (Hakipo kwenye biblia ya kawaida),Utakuta mistari hii hapa chini.

2 And thereafter, Cain slew Abel, but Adam was then one hundred and thirty years old, but Abel was slain when he was one hundred and twenty-two years. And thereafter Adam knew his wife and he begat a son and called his name Seth.

xxiv 1 And Adam said to Eve, 'Behold, I have begotten a son, in place of Abel, whom Cain slew.'

2 And after Adam had begotten Seth, he lived eight hundred years and begat thirty sons and thirty daughters; in all sixty-three children. And they were increased over the face of the earth in their nations.
Hapo utaona Adam alizaa watoto 63 jumla wakike 30 na wakiume 33,walioana wao kwa kwao na kuzaliana.So kuna uwezekano mkubwa pia Cain alimuoa moja ya dada zake pia.
Sawa
 
Mbona hili swali Lina majibu rahisi tu kutoka kwenye biblia? Soma biblia Kuna mifano mingi kuonesha idadi ya watu.
Mfano Yesu alipolisha mikate watu elfu tano, biblia inasema watu elfu tano kuacha wanawake na watoto. Kumbe yawezekana wanawake na watoto walikuwa wengi kuliko " WATU ELFU TANO".
Maana Yake wanawake walikuwa hawahesabiwi ndo maana hatujui huko Kaini alikooa kulikuwa na wanawake wangapi.
 
Ukionana nae muulize ni wapi Mungu aliandika kwamba ndugu waoane ili waongezeka afu baadae akabadili.

Hiyo biblia uliyoandika matukio mwngine ipo wapi? Hapa ndio wanapotuibia hawa jamaa
 
Yaani kuna uzembe katika kuchagua imani..ishu yoote hawataki kusema kwamba tupo wanaadam ambao walizaliwa ma binaadam na wanaadam ambao hawatakiwi kùandikwa asili yao kabisa sababu wakiandikwa hamtaishi kwa raha mustarehe! Inawezekana Adam anawakilisha wanaume tu! Na hawa anawakilisha kiumbe mwingine ambae asili yake bado ina utata mpaka leo! BINAADAM HATUKO SAWA.
 
Yaani kuna uzembe katika kuchagua imani..ishu yoote hawataki kusema kwamba tupo wanaadam ambao walizaliwa ma binaadam na wanaadam ambao hawatakiwi kùandikwa asili yao kabisa sababu wakiandikwa hamtaishi kwa raha mustarehe! Inawezekana Adam anawakilisha wanaume tu! Na hawa anawakilisha kiumbe mwingine ambae asili yake bado ina utata mpaka leo! BINAADAM HATUKO SAWA.

Natamani kuzisoma hizi theory zako in deep Chief, if you don’t mind unaweza kuendelea zaidi?
 
Haya makitu hayapatani na akili ya mtu timamu
Yanapatikana ila maandiko yana uzito sana, ndiyo maana Matendo 17:30 inasema "Basi, zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hazioni; bali sasa anawaagiza watu wote wa kila mahali watubu."

Hii ina maana kubwa sana kwenye ulimwengu wa maonyo juu ya yale yaliyofanyika hapo kabla.
 
Back
Top Bottom