Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,538
- 13,001
Hamas ni nchi???Israel ni muoga,wanashindwa kukabiliana na wapiganaji wa kipalastina uso kwa uso,wanarusha mabomu.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna mwananchi wala mtoto,wala Mwanamke,wala asiyehisika na vita,alipigwa hata kofi wacha bomu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app