Makosa ya binadamu ndiyo yalileta uadui Kati ya Israel na palestina.Makosa haya ya babu zetu hatuitaji kuyashikilia nabkusababisha uadui usiyokuwa wa maana .
Ibrahim aliaahidiwa na Mungu kuwa angempa nchi ya kanaani na kuwa urithi wake .Kanani ilikuwa ni nchi( au ulfame) kubwa yenye mikoa mingi ikiwemo Waamori ,wahiti,wayebusi ,nK.dhambi yao hawa ilikuwa kuabudu miungu mingine .
Mungu aliahidi huwapa Israel nchi hii ya Kanani kwa sharti kwa mbaki wasiabudu miungu mingine kama mataifa wenyeji ya nchi ile.na Ili wasijifunze kama mataifa haya yenye kuabudu miungu mingine walipewa agizo la kuwaangamiza wote wenyeji wataifa lile.
Tunatakiwa kuelewa kamba Israel ni taifa la Mungu ambalo lilitengenezwa na Mungu mwenyewe kuwapa wayahudi kama alivyomwahidi Ibrahim ambaye dini zote hasa uislam na ukristo zinaamini kuwa ni nabii mkuu baba wa Imani .unaposema unataka kuifuta Israel kwenye ramani unajidanganya mwenye .this is impossible and shall never happen in the human history.
Mungu hakutengeneza uadui Kati ya mwislam na mkristo Hata siku Moja .ikubukwe kwamba Israel na Palestina zimekuwepo kabla ya ukristo na uislam.sasa nashangaa ninapoona mwisalam anamchukia mkristo kwa sababu eti Israel inapigana na Hamass ( Palestina) .Huku nikuendeleza matatizo ya babu zetu Yani upagani.
Prophet Muhammad hakuhubiri Hata siku Moja uadui Kati ya mkristo na mwislam.
Kizuri zaidi Yesu ( issa bin Mariam ) alihubiri amani tena upendo wa ajabu Kati ya watu mwisalam na mkristo .ndiyo maana alisema mpende jirani yako kama nafsi yako .kama tungemwelewa Yesu Issa Bin mariam na Mohamed mtume wa Allah vita hizi za kijinga zisingekuwepo Hata kidogo .
Sasa ulimwengu unataabika kwa sababu ya kumkataa Mungu na na kutowaelewa mitume wake wakuu hawa wawili Yani Yesu na Mohamed.
Ukitaka kujua kuwa mwanadamu hatumii akili ni pale mwislam anaishi kwa amani na mkristo katika mataifa ya kikristo lakini akisikia ugomvi Kati ya Israel na Palestina analipuka kama mtungi wa gesi eti mwislam anaonewa na mkristo ( muyahudi ) .Sasa kama lengo lingekuwa kumwonea mwislam si angeonewa hata kuko nchi za magharibi au nchi zenye wakristo wengi ?
Nashangaa hata hawa mabalozi wa Palestina ,Iran ,Saudi arabi,uturuki ,rassia nK hawajifunzi kutoka nchi za Africa ambako mkristo ba mwislam wanakaa meza moja ofisini kupiga kazi na kupiga stori!
Dini zetu hazikupaswa kutugombanisha.Hapa ndipo naiona katiba yetu ya Tanzania ikimheshimu Mungu ya kila mtanzania anaruhusiwa kuabudu anachokitaka ilmradi asivunje Sheria ya nchi!
Niwaombe wakristo kwa wa Islam tujitenge mbali na ugomvi Kati ya Palestina na Israel na badala yake tuendelee kuwaelimisha wajue kuwa mpalestina na myahudi ni ndugu maana Mungu ni mmoja kwa wote tena ni mwenye upendo kwa wote
Ibrahim aliaahidiwa na Mungu kuwa angempa nchi ya kanaani na kuwa urithi wake .Kanani ilikuwa ni nchi( au ulfame) kubwa yenye mikoa mingi ikiwemo Waamori ,wahiti,wayebusi ,nK.dhambi yao hawa ilikuwa kuabudu miungu mingine .
Mungu aliahidi huwapa Israel nchi hii ya Kanani kwa sharti kwa mbaki wasiabudu miungu mingine kama mataifa wenyeji ya nchi ile.na Ili wasijifunze kama mataifa haya yenye kuabudu miungu mingine walipewa agizo la kuwaangamiza wote wenyeji wataifa lile.
Tunatakiwa kuelewa kamba Israel ni taifa la Mungu ambalo lilitengenezwa na Mungu mwenyewe kuwapa wayahudi kama alivyomwahidi Ibrahim ambaye dini zote hasa uislam na ukristo zinaamini kuwa ni nabii mkuu baba wa Imani .unaposema unataka kuifuta Israel kwenye ramani unajidanganya mwenye .this is impossible and shall never happen in the human history.
Mungu hakutengeneza uadui Kati ya mwislam na mkristo Hata siku Moja .ikubukwe kwamba Israel na Palestina zimekuwepo kabla ya ukristo na uislam.sasa nashangaa ninapoona mwisalam anamchukia mkristo kwa sababu eti Israel inapigana na Hamass ( Palestina) .Huku nikuendeleza matatizo ya babu zetu Yani upagani.
Prophet Muhammad hakuhubiri Hata siku Moja uadui Kati ya mkristo na mwislam.
Kizuri zaidi Yesu ( issa bin Mariam ) alihubiri amani tena upendo wa ajabu Kati ya watu mwisalam na mkristo .ndiyo maana alisema mpende jirani yako kama nafsi yako .kama tungemwelewa Yesu Issa Bin mariam na Mohamed mtume wa Allah vita hizi za kijinga zisingekuwepo Hata kidogo .
Sasa ulimwengu unataabika kwa sababu ya kumkataa Mungu na na kutowaelewa mitume wake wakuu hawa wawili Yani Yesu na Mohamed.
Ukitaka kujua kuwa mwanadamu hatumii akili ni pale mwislam anaishi kwa amani na mkristo katika mataifa ya kikristo lakini akisikia ugomvi Kati ya Israel na Palestina analipuka kama mtungi wa gesi eti mwislam anaonewa na mkristo ( muyahudi ) .Sasa kama lengo lingekuwa kumwonea mwislam si angeonewa hata kuko nchi za magharibi au nchi zenye wakristo wengi ?
Nashangaa hata hawa mabalozi wa Palestina ,Iran ,Saudi arabi,uturuki ,rassia nK hawajifunzi kutoka nchi za Africa ambako mkristo ba mwislam wanakaa meza moja ofisini kupiga kazi na kupiga stori!
Dini zetu hazikupaswa kutugombanisha.Hapa ndipo naiona katiba yetu ya Tanzania ikimheshimu Mungu ya kila mtanzania anaruhusiwa kuabudu anachokitaka ilmradi asivunje Sheria ya nchi!
Niwaombe wakristo kwa wa Islam tujitenge mbali na ugomvi Kati ya Palestina na Israel na badala yake tuendelee kuwaelimisha wajue kuwa mpalestina na myahudi ni ndugu maana Mungu ni mmoja kwa wote tena ni mwenye upendo kwa wote