RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,833
Yaani nakubaliana na wewe kila usemacho mkuu.Wale wanamgambo,usifananishe mgambo na mwanajeshi.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Yaani nakubaliana na wewe kila usemacho mkuu.Wale wanamgambo,usifananishe mgambo na mwanajeshi.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Hivi vita ni baina ya wanamgambo na wanajeshi,wewe uliwahi kusikia nchi gani,jeshi kupigana na raia?Hapa ni sawa na mtu mwenye maguvu,kupigana na kilema,tena kipofu.Yaani nakubaliana na wewe kila usemacho mkuu.
Ha ha ha kweli wamekuvuruga pole sana ndugu. It is what it is.Hivi vita ni baina ya wanamgambo na wanajeshi,wewe uliwahi kusikia nchi gani,jeshi kupigana na raia?
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Israel haipigani na Palestine,, inabidi uelewe kwanza hilo..
Israel wanapigana na kikundi cha wanamgambo HAMAS...
Huo ndio ukweli,jeshi,linapigana na raia,badala kutumia mbinu za kijeshi,kuwadhibiti wanamgambo,bila kuumiza raia,wanashindwa.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna raia aliyepigwa hata kofi.Ha ha ha kweli wamekuvuruga pole sana ndugu. It is what it is.
Waedit walibeba ya Palestine. Binadamu yeyote mwenye utashi hawezi kuunga mkono udhalimu unaofanywa na Israel
Kwani hamas ni jeshi la Palestina ?
Edited.Hao walioshika iyo bendera si Waislamu imekuwaje
Majibu ya hayo maswali yako hayajalishi..
Tunasema nchi moja inapigana na nyingine iwapo majeshi ya hizo nchi mbili zinahusika..
Bila shaka Israel wanatumia jeshi lao,,
vp kuhusu Palestina ?.... Hamas ni jeshi la Palestina ?
Unalindaje raia wako kwa kuua raia wasiokua na hatia ?
Hahaha Magaidi ya kiislam ndio waoga siku sote, wanarusha mabomu kwa kuvizia halafu wanaingia chimbo, hahahaha...walijifunza kwa Osama Bin laden, Sadam Hussein na Muhammad Ghadafi lakini kilichokuja kuwapata hawatakaa wasahau.Israel ni muoga,wanashindwa kukabiliana na wapiganaji wa kipalastina uso kwa uso,wanarusha mabomu.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna mwananchi wala mtoto,wala Mwanamke,wala asiyehisika na vita,alipigwa hata kofi wacha bomu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
So what's ua point dude?Haijalishi mahala ilipo,, pia haijalishi ni watu wa race ipi,, hamas sio jeshi la Palestina,, ni kikundi cha wanamgambo kama unavoona Alqaeda, n.k
So far wamefanya tathmini na kuona mashambulizi ya anga yapo effective zaidi na kiasi flani wameua magaidi pamoja na kuharibu miundo mbinu yao so hamna haja ya kupeleka vikosi vya ardhiniIsrael ni muoga,wanashindwa kukabiliana na wapiganaji wa kipalastina uso kwa uso,wanarusha mabomu.Tanzania tulipigana na Uganda,hakuna mwananchi wala mtoto,wala Mwanamke,wala asiyehisika na vita,alipigwa hata kofi wacha bomu.
Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
PhotoshopHao walioshika iyo bendera si Waislamu imekuwaje
Hivi Mungu hawezi kuwa na mtoto?Yesu anakuwaje mwana wa Mungu ?
Mungu huwa anazaa ? Au Mungu huwa anatia mtu mimba ?
Doctored picture
Sasa ulitaka Israel wasirushe kitu kule, wakae tu huku wanashambuliwa kila pande na kuuliwa pia, sio??? 🤔Waedit walibeba ya Palestine. Binadamu yeyote mwenye utashi hawezi kuunga mkono udhalimu unaofanywa na Israel