Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwenu imeshawa facilitate?😁😁
Kwani umesikia imeisha, kwasasa tumeona faida lukuki
1. Imeongeza ajira watu wanajenga na kulisha familia zao
2.imeongeza mzunguko wa pesa na kuinua uchumi kwa jamii husika
3.imewaongezea vijana ujuzi
4.imeanza kupendezesha na kuinua miundombinu mfano Mwanza tumepata viaduct ya 1.5km kupitia hii sgr
5.imesababisha baadhi ya miji kutanuka mfano pale fella palikuwa ovyo lakini sasa panalingana na goba.
 
Makambako CBD project zinaendelea
IMG_20231102_111924_620.jpg
 
Kwani umesikia imeisha, kwasasa tumeona faida lukuki
1. Imeongeza ajira watu wanajenga na kulisha familia zao
2.imeongeza mzunguko wa pesa na kuinua uchumi kwa jamii husika
3.imewaongezea vijana ujuzi
4.imeanza kupendezesha na kuinua miundombinu mfano Mwanza tumepata viaduct ya 1.5km kupitia hii sgr
5.imesababisha baadhi ya miji kutanuka mfano pale fella palikuwa ovyo lakini sasa panalingana na goba.

View: https://www.instagram.com/p/CzJmV_KtPSz/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Hiyo ni morogoro au ni sehemu ya kusini?
We punga nini,nimekuwekea video Kwa Ajili ya nini hasa? Si mlikuwaga mnalingia Hutu tumajengo twa Vituo Jumuishi?

Niliwaambia Majengo hayo yatajengwa Nchi nzima,saizi mnaumbuka na maumivu juu.

Mwisho gulio la Kahama kamwe halitakuja kupata miundombinu kama hii.
 
We punga nini,nimekuwekea video Kwa Ajili ya nini hasa? Si mlikuwaga mnalingia Hutu tumajengo twa Vituo Jumuishi?

Niliwaambia Majengo hayo yatajengwa Nchi nzima,saizi mnaumbuka na maumivu juu.

Mwisho gulio la Kahama kamwe halitakuja kupata miundombinu kama hii.
Punguza stress, haya mambo hayatak hasira, kwanini usilete jengo la uko mbeya ukaleta la morogoro.
 
Mbeya Bado halijajengwa we mbuzi,awamu ya pili Kuna Mikoa 8 lazima Mbeya na Rukwa itakuwepo.
Ungekuwa na akili japo kama za kenge ungeelewa nachomaanisha tatizo, unakurupuka kama fisi maji, nimekuuliza kwanini ulete miradi ya mikoa mingine kwani ipo kwenye battle.
 
Back
Top Bottom