Endeleen kutupostia mabasi...bukoba ishatoka huko....
Ili ni shirika jipya la ndege Tanzania..
Bukoba ni moja ya miji ya kwanza kuanzisha safari zake...Tazama nauli sasa...na itakuwa inajaa...nyinyi baki na takwimu zenu eti kagera hawapati hata 3000 kwa siku😂😂...
Bukoba kuna mashirika manne ya ndege yenye safari kila siku
1. Air Tanzania hii ni mara mbili kwa siku
2. Precision Air..kila siku
3. Fastlink kila siku
4. AUric kila siku...
usije na hoja kuwa ni mbali...Musoma, kigoma, mbeya, Tabora , kahama, katavi, sumbawanga hata airport hawana, njombe hata airport hawana nk lakin hata mashirika madogo hayaendi huko...
SHIDA NI VIPAT VIDOGO