Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

AcHA ushambawako katembelee uone burudan zilizopo hapo
Walugaluga mkiwa na mabwanga yenu mnaona mmepata kiwanja cha kujirusha, 😂😂😂😂 mnasafari ndefu sana, karibu upate upepo wa ziwa ukiyoyoma kwenye beaches zenye hadhi ya nyota 5.
 
Wavimbe na wapusuke tu kama chura tulisha wambia nyanda za juu kusin Kuna uchumi Nyerere hakuwa mjinga kukubaliana kujenga reli HiYo na Ninasikia na wanaenda kuendeleza Zambia kuunganisha na zambia
Kati ya watanzania wajinga na nyie mpo, mnafurahia reli ya kuinufaisha Zambia kwanini nyie msinufaike nayo kwanza?
 
Walugaluga mkiwa na mabwanga yenu mnaona mmepata kiwanja cha kujirusha, 😂😂😂😂 mnasafari ndefu sana, karibu upate upepo wa ziwa ukiyoyoma kwenye beaches zenye hadhi ya nyota 5.
Beach zimejaa Nyasa tofauti na beach zenu mlizogeuza choo
 
Beach zimejaa Nyasa tofauti na beach zenu mlizogeuza choo
Nyasa kuna beach au kuna shimo lilikusanya maji na kenge, acha ujinga wa kutia aibu jina la beach, au ulimaanisha kuna bitches.
 
Walugaluga mkiwa na mabwanga yenu mnaona mmepata kiwanja cha kujirusha, 😂😂😂😂 mnasafari ndefu sana, karibu upate upepo wa ziwa ukiyoyoma kwenye beaches zenye hadhi ya nyota 5.
Kiwanja Cha kwenu Katoro Kiko wapi? 😁😁
 
Akili zenu kila kitu mnawaza mizigo nje na mizigo ya ndani je, hiyo tazara ni moja kati ya white elephant project.
1698996253207.jpg

Wangekuwa hawafikirii mizigo ya ndani basi hata hiz project za kupima eneo la kandokando ya reli wasinge Anza kazi ya kupima
 
Back
Top Bottom