Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama huwez kulinganisha na visenta, kahama ni manispaa na njombe mji ni kisenta cha walima viazi
Ni lini gulio la Kahama litamfikia level hizi za Njombe? Dp World hakuwa mjinga kuja Njombe
 
Chaka la kujifichia😝😝😝
Mwanza mumejikomboa kwenye Kapu la maskini 😆😆😆

Ila mnaingia kwenye crisisya watu kukimbia Mwanza baada ya kuona hakuna maisha 😂😂
Screenshot_20231031-061536_1.jpg
 
Mwanza mumejikomboa kwenye Kapu la maskini 😆😆😆

Ila mnaingia kwenye crisisya watu kukimbia Mwanza baada ya kuona hakuna maisha 😂😂View attachment 2800153
Tatizo huwa unakurupuka, kipande kikubwa cah mwanza cha Busega kilimegwa kutengeneza mkoa wa simiyu, busega ilikuwa na watu kama 320,000 kumegwa kwa ilo eneo lilipunguza population ya Mwanza ndio maana wakaona kama growth imeshuka lakni sio kweli subiri tena 2032 utakuja kuona growth rate ya Mwanza.
 
Tatizo huwa unakurupuka, kipande kikubwa cah mwanza cha Busega kilimegwa kutengeneza mkoa wa simiyu, busega ilikuwa na watu kama 320,000 kumegwa kwa ilo eneo lilipunguza population ya Mwanza ndio maana wakaona kama growth imeshuka lakni sio kweli subiri tena 2032 utakuja kuona growth rate ya Mwanza.
Wewe ni jinga,kumegwa Kwa Busega ndio kunapunguza population in number au in terms of growth rate?

Mshaongia Cha kike,2036 Dom ndio itakuwa second biggest City in case population growth rate yake itaendelea kuwa hivyo hivyo.
 
Wewe ni jinga,kumegwa Kwa Busega ndio kunapunguza population in number au in terms of growth rate?

Mshaongia Cha kike,2036 Dom ndio itakuwa second biggest City in case population growth rate yake itaendelea kuwa hivyo hivyo.
Kukitokea vifo au vita na idadi kubwa ya watu wakafa, je kipi kitaathirika ni rate au number, je number na rate ipi ni dependent factor na ipi ni independent factor?
 
Kukitokea vifo au vita na idadi kubwa ya watu wakafa, je kipi kitaathirika ni rate au number, je number na rate ipi ni dependent factor na ipi ni independent factor?
Hakuna vita Tanzania harafu Simiyu iliundwa kitambo tuu na kina Njombe,Songwe nk

Unaleta excuses za kijinga,watu wanakimbia
 

Ndo mnajengewa sasa hiv...Bukoba airport ilijengwa miaka ya 2010 huko....na bado Bukoba Airport terminal iko unmatched nchi hii...

Bukoba Airport iko inawekewa taa za kuongoza ndege hadi usiku, kunajengwa VIP terminal lounge, na mengine kibao tazama bajeti ya mwaka huu


Na bado kuna mpango mpya wa ujenzi wa uwamnja mpya wa kimataifa maeneo ya Kajunguti wilayani misenyi...40km kutoka bukoba..
 

Attachments

  • images (1) (3).jpeg
    images (1) (3).jpeg
    25.1 KB · Views: 5
Ndo mnajengewa sasa hiv...Bukoba airport ilijengwa miaka ya 2010 huko....na bado Bukoba Airport terminal iko unmatched nchi hii...

Bukoba Airport iko inawekewa taa za kuongoza ndege hadi usiku, kunajengwa VIP terminal lounge, na mengine kibao tazama bajeti ya mwaka huu


Na bado kuna mpango mpya wa ujenzi wa uwamnja mpya wa kimataifa maeneo ya Kajunguti wilayani misenyi...40km kutoka bukoba..
Kwa hiyo Airport ya Bukoba Ina cold room au? 😁😁😁

Jifunze ku post unaboa
 
Endelea
kichwa chako kimejaa upupu, wewe si ulikuwa unapinga ujio wa sgr kwamba hauna maana leo unafurahia mbeya kujengewa sgr, tazara yenyewe imewashinda mnataka kuongeza white elephant project nyingine.
Haina maana Kwa Sasa labda kuanzia 2040 huko Uchumi ukishakuwa mkubwa
 
Back
Top Bottom