Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mheshimiwa Kapenjama Ndile Mji wa Songea ni njia ya mkato ya kwenda nchini Afrika ya Kusini hivyo kujengwa kwa barabara ya lami kutoka Songea hadi Mkenda mpakani na Msumbiji kunakwenda kuufungua Mkoa wa Ruvuma kimataifa
Mheshimiwa Ndile alikuwa anazungumza na wananchi wa Kata ya Mwengemshindo Manispaa ya Songea ambao wametoa hekari 5000 kwa ajili ya kujenga viwanda vya kisasa hivyo kuwezesha bidhaa zitakazozalishwa kwenye viwanda hivyo kuuzwa nchi za Malawi,Msumbiji na Afrika ya Kusini.