Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Haya makambako HiYo shopping mall na inajengwa na mtu binafsi na bado floor zinaendelea kuongezeka nguvu ya pesa na kuweka mji kibiashara zaidi
Ujenzi wa mall uko kasi sana



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app

IMG_20230716_114139_178.jpg
IMG_20230716_114147_303.jpg
 
Haya Sasa makambako inakwenda kuwa na lami Kila Kona 👇👇👇👇BILIONI 3.2 ZAIWEZESHA TARURA KUJENGA KILOMITA 51.28 ZA BARABARA MKOANI NJOMBE - Mhe. Ndejembi

Na: James Mwanamyoto (OR-TAMISEMI)

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Deogratius Ndejembi amesema Serikali ya Awamu ya Sita katika Mwaka wa Fedha 2022/23 ilitenga bilioni 3.2 zilizoiwezesha TARURA kujenga barabara za kiwango cha lami zenye urefu wa kilomita 51.28 mkoani Njombe.

Mhe. Ndejembi amesema hayo akiwa katika Halmashauri ya Mji Makambako, mara baada ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Philip Isdor Mpango kumpatia fursa ya kuzungumza na wakazi wa eneo hilo.

Mhe. Ndejembi amesema, kabla Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani TARURA ilitengewa shilingi bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa barabara mkoani Njombe, na kuongeza kuwa Mhe. Rais aliongeza bajeti iliyofikia shilingi bilioni 3.2 ili kuongeza wigo wa ujenzi wa barabara mkoani humo.

“Mhe. Makamu wa Rais katika kilomita 51.28 za barabara zilizojengwa mkoani Njombe wananchi wa hapa Makambako wamenuifa na kilomita 12 zilizojengwa katika mji huu wa Makambako,” Mhe. Ndejembi amesisitiza.

Mhe. Ndejembi ameongeza kuwa, katika mwaka huu wa fedha 2023/24 Serikali imetenga bilioni 1 kwa ajili ya kujenga barabara za kiwango cha lami ambazo zitawekewa taa katika Halmashauri ya Mji wa Makambako.

Aidha, Mhe. Ndejembi amesema katika mwaka wa fedha 2021/22 Halmashauri ya Mji wa Makambako ilipokea zaidi ya shilingi milioni 470 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Kitisi.

Sanjali na hilo, Mhe. Ndejembi amesema katika kata ya Kitandililo Serikali imeleta milioni 583 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari na inaendelea na ujenzi wa kituo cha afya ambacho kimetengewa milioni 250 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wake.
Sasa billion 3 zitawezaje kujenga kilometers 53?
 
SERIKALI KUANZA KUJENGA UPYA BARABARA YA LAMI SONGEA-MAKAMBAKO
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt,Philip Mpango amesema amekataa kupanda ndege na kuutumia usafiri wa barabara ili kuona changamoto ya barabara ya Makambako hadi Songea.
Dkt,Mpango ameeleza hayo wakati anazungumza na wananchi wa vijiji vya Lilondo na Mlilayoyo mkoani Ruvuma baada ya kuanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Ruvuma..
"Watu wangu walijaribu kunishawishi niende kwa ndege nikawaambia sisi hatutawali hayo mawingu nataka kupita watu wangu waliko,kwa kweli moja ya sababu zangu za msingi ni kuona barabara hii (Makambako - Songea) bahati nzuri naibu waziri ametoa maelezo kwa hiyo ninataka kusisitiza vipande vyote ambavyo vimewekewa fedha kwenye bajeti ya mwaka huu muanze kufanya kazi mara moja.
Dkt Mpango amesema serikali imetenga fedha kuanza kutekeleza ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami nzito kipande cha Songea hadi Lutukila chenye urefu wa KM 98 na kwamba utekelezaji wa mradi huo unaanza mwaka huu.
Dkt,Mpango ameagiza wizara ya Fedha kuhakikisha inatafuta fedha kwa ajili ya ukarabati wa barabara ya kutoka kipande cha kutoka Lutukila kufika Makambako kwa kuwa chakula kingi kinatoka mikoa ya kusini hasa mkoa wa Ruvuma ambao ni kapu la chakula nchini.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt Philip Mpango ameanza ziara ya kikazi ya siku tano mkoani Ruvuma inayotarajia kukamilika Julai 24,2023.
 
Haya makambako HiYo shopping mall na inajengwa na mtu binafsi na bado floor zinaendelea kuongezeka nguvu ya pesa na kuweka mji kibiashara zaidi

View attachment 2696668View attachment 2696669
Huwezi linganisha hilo jengo na hii shopping mall inayojengwa Bukoba...majengo ya aina hiyo yako mengi sana Bukoba hadi kahama huko..


Hii ni shoppinga mall kabisa na itakuwa na wafanya biashara zaidi 500...
Screenshot_20230220-181511.jpg
 

Attachments

  • fddse.JPG
    fddse.JPG
    80.6 KB · Views: 11
  • dfg.JPG
    dfg.JPG
    232.1 KB · Views: 8
  • F0NZcJAWIAczzt1%20(1).jpg
    F0NZcJAWIAczzt1%20(1).jpg
    48.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20230716-143648.jpg
    Screenshot_20230716-143648.jpg
    60.5 KB · Views: 10
Haya makambako HiYo shopping mall na inajengwa na mtu binafsi na bado floor zinaendelea kuongezeka nguvu ya pesa na kuweka mji kibiashara zaidi

View attachment 2696668View attachment 2696669
Nikipita makambako...bado hakuna muonekano wa kimji....hata towm hapaeleweki ni wap...hata stendi ya hapo ina vumbi hatari...

Plus future slums zinatengenezwa kwa kasi...
 
Nikipita makambako...bado hakuna muonekano wa kimji....hata towm hapaeleweki ni wap...hata stendi ya hapo ina vumbi hatari...

Plus future slums zinatengenezwa kwa kas
Nikipita makambako...bado hakuna muonekano wa kimji....hata towm hapaeleweki ni wap...hata stendi ya hapo ina vumbi hatari...

Plus future slums zinatengenezwa kwa kasi...
HAhaha na bado Wacha kazi iendelee utaelewa tu
FB_IMG_16840315451143779~2.jpg
IMG_20230716_113021_625~2.jpg
 
La
Nikipita makambako...bado hakuna muonekano wa kimji....hata towm hapaeleweki ni wap...hata stendi ya hapo ina vumbi hatari...

Plus future slums zinatengenezwa kwa kasi...
Labda slum za bukoba huku tunaonesha umwamba WA pesa sio kutegemea mashirika ya kidini ndo yawafikilie kumbuka HiYo inakwenda juu zaidi ya gorofa Tano na tayari floor ya chini Ina maduka zaidi ya 70 kumbi ofisi ,hotel nk
IMG_20230716_114139_178.jpg
 
Hivi mtu wa bukoba unajichetua akili eti unacheka stendi ya makambako na kahama kwani bukoba Kuna standi
 
Nikipita makambako...bado hakuna muonekano wa kimji....hata towm hapaeleweki ni wap...hata stendi ya hapo ina vumbi hatari...

Plus future slums zinatengenezwa kwa kasi...
#IceFmHabari
Wafanyabiashara ambao watapisha ujenzi wa soko kuu mjini Makambako wilayani Njombe ambao unatarajia kuanza mwakani 2024 wameiomba Halmashauri kuwahamishia kwenye maeneo rafiki kulingana na biashara zao ili kuwaepusha na hasara wanayoweza kuipata.

Wakizungumza wakati wa mkutano na Mbunge wa jimbo Deo Sangaambao umefanyika standi ya zamani mjini Makambako, wamesema halmashauri inatakiwa kuhakikisha wafanyabiashara wanahamishiwa eneo moja ili wasiwapoteze wateja wao.

wafanyabiashara hao wamesema pindi ujenzi wa soko utakapo kamilika wanatakiwa kurejeshwa kwenye maeneo yao badala ya kupewa kipaumbele watu wengine.

Aidha mwenyekiti wa jumuiya ya wafanyabiashara mkoa wa Njombe na Nyanda za juu Kusini Siphael Msigala amewataka wafanyabiashara kuendelea kutoa maoni yao ya wapi wanataka waende ili waendelee kufanya biashara zao pindi soko linajengwa badala ya kuhama Makambako.

Akizungumza katika mkutano huo Mbunge Deo Sanga amesema jimbo lake katika mwaka wa fedha 2024-2025 limetengewa fedha zaidi ya bilioni 12 kwaajili ya kuanza ujenzi wa soko la kisasa na standi ya mabasi na kueleza kuwa utekelezaji wake utaanza mwakani 2024.

Na @cleefmlelwah ✍🏾

#Miaka10YaIceFmRadio_Waleteee
 
Huwezi linganisha hilo jengo na hii shopping mall inayojengwa Bukoba...majengo ya aina hiyo yako mengi sana Bukoba hadi kahama huko..


Hii ni shoppinga mall kabisa na itakuwa na wafanya biashara zaidi 500...View attachment 2696827
HAHAha shopping mall Zina designiwa kwa mitindo mingi et majengo haya yapo sehemu nyingi najua siku moja utakuja ujifunze na kumbuka mji wa makambako umeanza mwaka 2012 Leo hii tayar watu wanawekeza project kubwa kama hiz na bukoba ni miongoni mwa miji mikongwe Leo hii inaanza kujisifia na project kama hiz kweli mkoa wa njombe watu wanapesa na kwa nchi yetu mall nyingi zipo kwenye majiji na ni baadhi kama dsm ,Arusha ,mwanza na dodoma
msasani-05.jpg
M39.jpg
slider_imgqfx5b2.jpg
sky-gallery-1.jpg
M39.jpg
FixfRUi.jpg
RcyWamf.jpg
mwanza-tanzania-02222023-drone-view-of-the-rock-city-mall-next-to-lake-victoria-popular-shoppi...jpg
 
Hivi mtu wa bukoba unajichetua akili eti unacheka stendi ya makambako na kahama kwani bukoba Kuna standi
Nani kasema Bukoba kuna stendi?

Acha kupaniki...mimi nimeongea uhalisia wa makambako...ule mji ni future slum tu...

Nami nikikuuliza huko njombe sijui makambako kuna Airport? Kuna mji wowote hata wenye hadhi ya municipality?
 
Nani kasema Bukoba kuna stendi?

Acha kupaniki...mimi nimeongea uhalisia wa makambako...ule mji ni future slum tu...

Nami nikikuuliza huko njombe sijui makambako kuna Airport? Kuna mji wowote hata wenye hadhi ya municipality?
U
Nani kasema Bukoba kuna stendi?

Acha kupaniki...mimi nimeongea uhalisia wa makambako...ule mji ni future slum tu...

Nami nikikuuliza huko njombe sijui makambako kuna Airport? Kuna mji wowote hata wenye hadhi ya municipality?
Vigezo vya manispaa vipo wazi angalia alafu iangalie miji ya njombe kama haijakidhi hivyo vigezo na kupitiliza kabisa
 
Nani kasema Bukoba kuna stendi?

Acha kupaniki...mimi nimeongea uhalisia wa makambako...ule mji ni future slum tu...

Nami nikikuuliza huko njombe sijui makambako kuna Airport? Kuna mji wowote hata wenye hadhi ya municipality?
TuMe kwambia Wacha pesa iongee tutaelewana tu na ukongwe wenu ili takiwa muanze kutunishiana misuri Na majiji kama mwanza ,Arusha , mbeya ,Dodoma chaajabu mnatuletea project ambazo zinafanyika kwenye miji iliyo Anza 2012 hii ni aibu
1689814212782.jpg
1689178068431.jpg
FB_IMG_16871931209013811.jpg
FB_IMG_16875901970702091.jpg
IMG_20230622_155753_299~2.jpg
FB_IMG_16866240787745293.jpg
FB_IMG_16822601514417422~2.jpg
FB_IMG_16840315451143779~2.jpg
FB_IMG_16679690953607052.jpg
FB_IMG_16822494082655887.jpg
FB_IMG_16814490424044113.jpg
FB_IMG_16777220132761310.jpg
 
Back
Top Bottom