Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Jinga kweli mall ni duka tuu ambalo unaweza pata mahitaji mengi hasa ya ndani eneo Moja.

Huo ulazima sijaiona maana ni utamaduni pia.

Mwisho huna Cha kunifundisha kwenye mall maana Mimi nimefanya kazi pale Uchumi Super Market Mtava na Segerea kipindi zipo.
You're such a dumb ...Kwa hyo wew Kwa akili zako unajua mall ni super market tu ......nenda kujifunze maana ya mall ndo uje tujadili hapa
 
You're such a dumb ...Kwa hyo wew Kwa akili zako unajua mall ni super market tu ......nenda kujifunze maana ya mall ndo uje tujadili hapa
Hakuna jipya ,wewe kwako unajua mall ni nini? Super Market unaweza pata dispensary au Bar nk?
 
Kwani Kuna ulazima wa kuwa na hivyo vi Mall vyenu? Naona mnashoboka sana what is so special?
Ni lazima...hizo fremu mnazojenga kwa Kasi huko mbeya sijui kusini...inabidi watu wanunue office ndani ya mall moja...hii inarahisisha kupata huduma na kuongeza ufanisi wa biashara
 
Jinga kweli mall ni duka tuu ambalo unaweza pata mahitaji mengi hasa ya ndani eneo Moja.

Huo ulazima sijaiona maana ni utamaduni pia.

Mwisho huna Cha kunifundisha kwenye mall maana Mimi nimefanya kazi pale Uchumi Super Market Mtava na Segerea kipindi zipo.
Kuna tofauti kati ya mall na supermarkets
 
Mkuu hebu tuzione hizo mall zilizoko makambako?

Unashangaa Bukoba? Vip kuhusu mbeya mnaloita jiji na halina hata shopping plaza hata moja?

Tanzania tunazidiwa hadi na uganda kwa malls...mji kama enttebe una mall kama saba hiv tena kubwa...na naiona Bukoba inaelekea huko huko....hata hapa dar ukiachana na mlimani na kidogo palm village kwingine ni under utilised...



View attachment 2696963
Palm village? Dar city Mall unanionaje,Kibo complex je? Au hujazunguka unataja taja tu
 
Palm village? Dar city Mall unanionaje,Kibo complex je? Au hujazunguka unataja taja tu
Mkuu tembea miji ya watu mzee nenda Nairobi two rivers, Westgate etc..nenda Kampala nenda hata Zambia utakuja kunisapport kuwa Malls za Tanzania ziko underutilized na haziko busy....
 
Mkuu tembea miji ya watu mzee nenda Nairobi two rivers, Westgate etc..nenda Kampala nenda hata Zambia utakuja kunisapport kuwa Malls za Tanzania ziko underutilized na haziko busy....
Haziko buzy kwavile Bado watu hawana ufahamu,na pia wabongo Bado atujazoea kupanga kwenye malls na supermarket tunangalia pontetial location frame za barabarani
 
Cc@Mikdde Kitombile and other haters

Kipande Cha Barabara Cha Kigoma-Uvinza-Kasulu Hadi Mutukula kikimalizika yatapita Mabasi mengi sana ya kutokea Kampala,Kigali,Goma, Bujumbura nk kueleke Lusaka na South Africa.
 
Cc@Mikdde Kitombile and other haters

Kipande Cha Barabara Cha Kigoma-Uvinza-Kasulu Hadi Mutukula kikimalizika yatapita Mabasi mengi sana ya kutokea Kampala,Kigali,Goma, Bujumbura nk kueleke Lusaka na South Africa.

Watu wajanja wa kampala wakafate nini huko madongo kuinama, yaani wajanja wa kampala waende kigoma na huko kusini kuna vitu gani waache route ya Mwanza mpka Dar kwa wajanja wenzao na kufuata fursa labda kama wanaenda kufuata waganga wa kienyeji.
 
Back
Top Bottom