Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Simiyu inatuangusha sana ....huo mkoa haukujiandaa urudishwe Mwanza
Sisi tuliwapa maeneo tajiri ya lamadi, busega, tulimega kutoka Magu, bila hayo maeneo simiyu ingekuwa kama katavi kwa umasikini na bado naona ni mkoa masikini kaliba ya katavi na lindi.
 
Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
Na huu ndo ukweli hiv mkoa wa pwani wakazi wake walivyo kaa kaa unaweza linganisha hata hali ya maisha ya wakazi wa muleba?


Hebu angalia hii mitaa ya bukoba...Kagera miaka ya 2010 kurudi nyuma ilikuwa haikosi top ten kwenye mikoa yenye maisha bora...leo hii 2023 eti ndo maskini zaidi...
dfg%20(1).JPG
 
Na huu ndo ukweli hiv mkoa wa pwani wakazi wake walivyo kaa kaa unaweza linganisha hata hali ya maisha ya wakazi wa muleba?


Hebu angalia hii mitaa ya bukoba...Kagera miaka ya 2010 kurudi nyuma ilikuwa haikosi top ten kwenye mikoa yenye maisha bora...leo hii 2023 eti ndo maskini zaidi...View attachment 2682791
Achana na madata ya kupikwa ya hii nchi ya mazombie, hizo takwimu nikizoweka mimi ndio sahihi hazina mbamba mbamba wala nyenye nyenye
 
Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
Kote huku Chanzo ni ushirikina
 
Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.


1688895934171.jpg
 
Hapa ndio sehemu ya kupanga mikoa kumi masikini kwa haki bila chuki
Na hizi ndio mikoa masikini zaidi nchini na mingine inabebwa na viwanda vingi lakini bado imetopea kwenye lindi la umaskini wa mtu mmoja mmoja Tanzania
1.katavi
2.Simiyu
3.Rukwa
4.Lindi
5.Singida
6.Mtwara
7.Manyara
8.Tabora
9.Kigoma
10.Pwani.
We Kwa akili Yako Rukwa ni Maskini kweli? Mikoa Mingi hapo naifahamu kasoro Kigoma na Lindi .
 
Hizi bei mnazosema zimeshuka ni Mafanikio makubwa Kwa mkulima maana haijawahi kuwepo
 
Back
Top Bottom