Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha

Wapi iringa, mbeya mnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna lolote
Screenshot_20230702-065010~2.jpg
 
Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha

Wapi iringa, mbeya mnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Huu ndo uhalisia sasa...

Siku zote nakataa Kagera sio maskini kama wanavyotaka kutuaminisha
 
Upande Wetu umetolewa Ruvuma wanaleta wenye njaa hao wa Katavi ,hao ni Western zone
Kidogo mwaka mlijitutumua .. lakin Kwa kuwa kwenye masoko yenu ya madini hamna product tofauti na dhahabu..mmepigwa za uso ...
Thamani ya madini yaliyouzwa kwenye masoko ya madini ..Hadi march 2023
Lake billion 303
southern bilioni 302
Screenshot_20230706-095101~2.jpg
 
Kidogo mwaka mlijitutumua .. lakin Kwa kuwa kwenye masoko yenu ya madini hamna product tofauti na dhahabu..mmepigwa za uso ...
Thamani ya madini yaliyouzwa kwenye masoko ya madini ..Hadi march 2023
Lake billion 303
southern bilioni 302View attachment 2681298
Kwa hiyo unalingia bil.1 au? 😆😆😆😆
 
Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha

Wapi iringa, mbeya mnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Sisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
 
Sisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
Mada bila takwimu na figure Huwa ni porojo kaandike upya. Hizo assumption zako Huwa sifatilii bado naendelea kuwachapa Kwa figure za BOT Hadi mkimbie
 
Hyo figure sio bank ..hyo ni miamala ya mawakala ......kama hamweki benk Ina maana hamfanyi transactions za kununua bidhaa
Unadhani sijasoma Hilo topic yako ...source inazungumzia assumption
Kwani transactions zinafanyika Kwa njia ya Banks?
 
Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha

Wapi iringa, mbeya mnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi 😁😁

Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha 🤣🤣

List Iko hivi 👇
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Dodoma.
 
Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi

Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha

List Iko hivi
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Kanda ya ziwa haipoi
International trade tumeongoza ..wapi wa kasumulu ,,tumbi port na tunduma.
Lake imexport bidhaa zenye thamani ya bilioni 1.1 wakati kusini highland milioni 200
Screenshot_20230706-095554~2.jpg
 
Idadi ya agents na Namba of transactions kiufupi financial inclusion ya Arusha ni kubwa kuliko Mwanza.

Watu mil.2 wanawazidi watu mil.4 proof ya umaskini uliotopea Mwanza
Una makengeza ..eti transactions milioni 1.2 wakati Arusha milioni 1.1 ... .faida ya mawakala wengi wasio na miamala ipo wap ...soma vizuri
 
Kanda ya ziwa haipoi
International trade tumeongoza ..wapi wa kasumulu ,,tumbi port na tunduma.
Lake imexport bidhaa zenye thamani ya bilioni 1.1 wakati kusini highland milioni 200 View attachment 2681321
Mumeongoza sababu ya mauzo ya dhahabu ya mzungu 😁😁😁😁

Mungekuwa ni nyie wenyewe msingekuwa maskini Wala kuzidiwa na Arusha kwenye financial inclusion
 
Back
Top Bottom