Huu ndo uhalisia sasa...Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha
Wapi iringa, mbeyamnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Kidogo mwaka mlijitutumuaUpande Wetu umetolewa Ruvuma wanaleta wenye njaa hao wa Katavi ,hao ni Western zone
Kagera wameizidi iringaHuu ndo uhalisia sasa...
Siku zote nakataa Kagera sio maskini kama wanavyotaka kutuaminisha
Kwa hiyo unalingia bil.1 au? ππππKidogo mwaka mlijitutumua.. lakin Kwa kuwa kwenye masoko yenu ya madini hamna product tofauti na dhahabu..mmepigwa za uso ...
Thamani ya madini yaliyouzwa kwenye masoko ya madini ..Hadi march 2023
Lake billion 303
southern bilioni 302View attachment 2681298
Sisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha
Wapi iringa, mbeyamnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Mada bila takwimu na figure Huwa ni porojo kaandike upya. Hizo assumption zako Huwa sifatiliiSisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
Sijawahi andika mada bila ya sourceMada bila takwimu na figure Huwa ni porojo kaandike upya. Hizo assumption zako Huwa sifatiliibado naendelea kuwachapa Kwa figure za BOT Hadi mkimbie
Unadhani sijasoma Hilo topic yako ...source inazungumzia assumptionSijawahi andika mada bila ya source
Hyo figure sio bank ..hyo ni miamala ya mawakala ......kama hamweki benk Ina maana hamfanyi transactions za kununua bidhaaSisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
Hyo figure sio bank ..hyo ni miamala ya mawakala ......kama hamweki benk Ina maana hamfanyi transactions za kununua bidhaa
Kwani transactions zinafanyika Kwa njia ya Banks?Unadhani sijasoma Hilo topic yako ...source inazungumzia assumption
Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi ππWatasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha
Wapi iringa, mbeyamnaojikuta per Capita income
Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna loloteView attachment 2681296
Wapi ....Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi
Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha
List Iko hivi
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Idadi ya agents na Namba of transactions kiufupi financial inclusion ya Arusha ni kubwa kuliko Mwanza.
Kanda ya ziwa haipoiNaona umeamua kupotosha Kwa Makusudi
Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha
List Iko hivi
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Una makengeza ..eti transactions milioni 1.2 wakati Arusha milioni 1.1 ... .faida ya mawakala wengi wasio na miamala ipo wapIdadi ya agents na Namba of transactions kiufupi financial inclusion ya Arusha ni kubwa kuliko Mwanza.
Watu mil.2 wanawazidi watu mil.4 proof ya umaskini uliotopea Mwanza
Mikoa mingi tu...kagera ipo ligi moja na mbeya...Kagera wameizidi iringa
Mumeongoza sababu ya mauzo ya dhahabu ya mzungu ππππKanda ya ziwa haipoi
International trade tumeongoza ..wapiwa kasumulu ,,tumbi port na tunduma.
Lake imexport bidhaa zenye thamani ya bilioni 1.1 wakati kusini highland milioni 200 View attachment 2681321
Usifananishe Mbeya na hiyo takataka,tafuta wa level zenu kina Ruvuma etcMikoa mingi tu...kagera ipo pigi moja na mbeya...
Una makengeza ..eti transactions milioni 1.2 wakati Arusha milioni 1.1 ... .faida ya mawakala wengi wasio na miamala ipo wap...soma vizuri
Hiyo arrow inasomekaje?