Kahama VS Njombe/Mafinga

Watasema wanaongoza kwenye utajiri wa pesa lakini takwimu zinawakataa ..mikoa iliyoongoza Kwa miamala ya fedha kuweka na kutoa pesa
1.dar es salaam
2 Mwanza
3.arusha

Wapi iringa, mbeya
mnaojikuta per Capita income

Tushawaaambia utajiri wenu wa makadirio hauna lolote
 
Huu ndo uhalisia sasa...

Siku zote nakataa Kagera sio maskini kama wanavyotaka kutuaminisha
 
Upande Wetu umetolewa Ruvuma wanaleta wenye njaa hao wa Katavi ,hao ni Western zone
Kidogo mwaka mlijitutumua
.. lakin Kwa kuwa kwenye masoko yenu ya madini hamna product tofauti na dhahabu..mmepigwa za uso ...
Thamani ya madini yaliyouzwa kwenye masoko ya madini ..Hadi march 2023
Lake billion 303
southern bilioni 302
 
Kwa hiyo unalingia bil.1 au? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Sisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
 
Sisi hatuweki pesa banks Ili ziliwe na ccm.au unajifanya hujasoma mada yangu?
Mada bila takwimu na figure Huwa ni porojo kaandike upya. Hizo assumption zako Huwa sifatilii
bado naendelea kuwachapa Kwa figure za BOT Hadi mkimbie
 
Mada bila takwimu na figure Huwa ni porojo kaandike upya. Hizo assumption zako Huwa sifatilii
bado naendelea kuwachapa Kwa figure za BOT Hadi mkimbie
Sijawahi andika mada bila ya source
 
Hyo figure sio bank ..hyo ni miamala ya mawakala ......kama hamweki benk Ina maana hamfanyi transactions za kununua bidhaa
Unadhani sijasoma Hilo topic yako ...source inazungumzia assumption
Kwani transactions zinafanyika Kwa njia ya Banks?
 
Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi 😁😁

Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha 🀣🀣

List Iko hivi πŸ‘‡
Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Dodoma.
 
Naona umeamua kupotosha Kwa Makusudi


Ila Mwanza mnakomeshwaga vibaya sana na Arusha


List Iko hivi

Dar
Arusha
Mwanza
Mbeya
Kanda ya ziwa haipoi
International trade tumeongoza ..wapi
wa kasumulu ,,tumbi port na tunduma.

Lake imexport bidhaa zenye thamani ya bilioni 1.1 wakati kusini highland milioni 200
 
Idadi ya agents na Namba of transactions kiufupi financial inclusion ya Arusha ni kubwa kuliko Mwanza.

Watu mil.2 wanawazidi watu mil.4 proof ya umaskini uliotopea Mwanza
Una makengeza ..eti transactions milioni 1.2 wakati Arusha milioni 1.1 ... .faida ya mawakala wengi wasio na miamala ipo wap
...soma vizuri
 
Kanda ya ziwa haipoi
International trade tumeongoza ..wapi
wa kasumulu ,,tumbi port na tunduma.

Lake imexport bidhaa zenye thamani ya bilioni 1.1 wakati kusini highland milioni 200 View attachment 2681321
Mumeongoza sababu ya mauzo ya dhahabu ya mzungu 😁😁😁😁

Mungekuwa ni nyie wenyewe msingekuwa maskini Wala kuzidiwa na Arusha kwenye financial inclusion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…