Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tarehe 04 Julai 2023 Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alishuhudia hafla ya utiaji saini wa mikataba 3 ya ufadhili wa program tatu nchini Tanzania na mapokezi ya msaada wa kibajeti wa Tsh. 117.039 bilion kwa ajili ya utekelezaji wa program ya green and smart cities SASA.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela ni moja ya halmashauri ambayo itafaidika kupitia mradi huu wa Green and Smart CIties SASA

Miradi ya Maendeleo itakayotekelezwa katika Manispaa ya Ilemela ni pamoja na;

1. Uboreshaji wa soko la samaki mwaloni
2. Uboreshaji wa mialo ya Old and new Igombe
3.Ujenzi wa soko la Buswelu.

Miradi hii itafadhiliwa na Umoja wa Ulaya kupitia shirika la maendeleo la Ufaransa (AFD) na utekelezaji wa miradi hii utaanza katika mwaka wa fedha 2023/2024.

#ilemelatunasimamanaraiswetu
Screenshot_20230705-120949.jpg
 
Vibasi vya kimaskini hivi ndio ulinganishe na Benz au Marcopolo za Sauli? Kuwa serious kidogo..

Sauli hajawahi pata ajali ya kuia Toka aanze biashara
Hilo kopo huwezi fananisha na hiki kinanda EBR bima milioni 70 ..Hy ndo bei ya kununua Hilo kopo
20230706_160853.jpg
20230706_160757.jpg
 
BOMBA LA MAFUTA (TAZAMA) LAANZA KUSAFIRISHA DIZELI DAR TO ZAMBIA

Waziri wa Nishati January Makamba amesema kwa miaka mingi Tanzania tumekua na bomba linalojulikana kama TAZAMA lililojengwa miaka ya 1960 ambalo lilikua likisafirisha mafuta ghafi na kwenda kusafishwa kwenye kituo cha kusafisha mafuta ghafi Nchini Zambia ambapo baada ya kusimama kwa kuingiza mafuta ghafi imekubalika kubadilisha mfumo badala ya kusafirisha mafuta ghafi yasafirishwe mafuta yaliyosafishwa na mchakato huo umekamilika mwezi wa kwanza mwaka huu kwa sasa bomba hilo linasafirisha mafuta ya Dizeli na sio mafuta ghafi kama ilivyokua hapo awali.

Baada ya kuanza kusafirisha Dizeli kwenye bomba la mafuta hali ya usalama na mahitaji ya usalama ya bomba hilo yameongezeka sababu ni rahisi watu kushawishika kutoboa bomba hilo na kuchukua Dizeli, Waziri Makamba amesema ‘Tumeshafanya mkutano wa kwanza mwaka jana tuliweka makubaliano ya kuweza kulilinda bomba hili lenye urefu wa KM 1,710 kutoka Kigamboni – Dar es salaam hadi Indeni - Ndola Zambia’ - Waziri Makamba.

Kwa upande mwingine Waziri Makamba amesema>> ‘Kikao tunachokutana kitapokea taarifa ya utekelezaji wa bomba hilo na mapendekezo ya ujenzi wa bomba jipya katika mkuza huo, bomba hili limejengwa muda mrefu na lina kipenyo chembaba biashara ya mafuta imekua na mahitaji ya mafuta yamekua zaidi, kuna haja ya kujenga bomba pana na jipya litakalosafirisha pia bidhaa nyingine zaidi ya Dizeli, Serikali zote mbili zimekua zikiongea kuhusu biashara hii ya mafuta na ujenzi wa bomba jipya la gesi ili kuiuzia Zambia Gesi’ - Waziri Makamba.

Haya ni mashirikiano mazuri kati ya nchi zetu hizi na pia ni mwendelezo wa mahusiano mema unaofanywa na Viongozi wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhe. Hakainde Hichilema, Rais wa Jamhuri ya Zambia kama yalivyoasisiwa na Viongozi wetu wa kwanza Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius K. Nyerere na Hayati Kenneth Kaunda.
1688689078486.jpg
 
Mikdde Kitombile Vyuo vinakuwa namna hii sio Yale mabwalo ya misosi kule Mwanza
Thamani ya madini yaliyouzwa Kanda ya ziwa Hadi marchi 2023 ni bilion 444 saw na asilimia 51 ya madini yote tanzania...
Note hizo bilion 444 ziliingizwa kwenye mzunguko wa wananchi na serikali ....... center ya uchumi wa nchi Ni Kanda ya ziwa
Screenshot_20230706-094903~2.jpg
 
Thamani ya madini yaliyouzwa Kanda ya ziwa Hadi marchi 2023 ni bilion 444 saw na asilimia 51 ya madini yote tanzania...
Note hizo bilion 444 ziliingizwa kwenye mzunguko wa wananchi na serikali ....... center ya uchumi wa nchi Ni Kanda ya ziwa
View attachment 2681292
Chunya peke yake imezidi hiyo thamani ya Madini ya Lake Zone nzima 😁😁
 
Back
Top Bottom