Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Baada ya Iringa,Kituo kinachofuata Kwa Lami Vijijini kuzinduliwa ni Wanging'ombeView attachment 2670046
Screenshot_20230627-093925.jpg
 
Kutokana na ongezeko la makazi na vyombo vya moto vipande vya makambako hadi mtwango Km 30 na makambako hadi ilembula km 30 pia kwa upande wa njombe tc ni kibena hadi nundu km15 tanroad mkoa wameamua kufunga taa za kuongozea magari maeneo mbalimbali kwenye vipande hivi
FB_IMG_16879047096178235.jpg
IMG_20230309_171947_960~2.jpg
IMG-20230627-WA0032.jpg
 
Mambo ni fire hospital ya inuka ambayo ipo 25km from makambako round about ndo hospital kubwa ya mambo ya viungo na utengamavu kwa watoto nyanda za juu kusini ko mkoa wa njombe upo full Kila idara now inazidi kutanuliwa zaidi baada ya kuwa na madaktari bingwa kutoka nje
FB_IMG_16879090648090104.jpg
FB_IMG_16879094547359981.jpg
FB_IMG_16879092561878732.jpg
FB_IMG_16879092744948584.jpg
INUKA CBR(0).jpg
FB_IMG_16879092994210203.jpg
 
SHINYANGA: Wazee kutoka Manispaa ya Kahama wamelalamika kuwa wenzao wamekuwa wakiuawa na Watoto wao wanapokataa kugawa Urithi huku wakitengenezewa mazingira ya Vifo vya Imani za Kishirikina

Kahama imeripotiwa kuwa na Wazee 6,692 huku 50% wakiishi maeneo ya pembezoni ambako ndipo kunafanyika Vitendo vya Ukatili wa Kijinsia pamoja na Mauaji

Takwimu za Jeshi la Polisi za Mwaka 2020/22 zinaonesha kulikuwa na matukio zaidi ya 150 ya Uvunjaji wa Haki za Wazee yaliyoripotiwa, 16 ya Unyanyasaji wa Kingono na 71 ya Mauaji kwa Imani za Kishirikina

Soma Shinyanga: Wazee walalamika kuuawa kwa njama wasipogawa urithi

#JamiiForums #Governance #SocialJustice #HumaniRights #EndGBV #JFDATA
FB_IMG_16879774268262976.jpg
 
Back
Top Bottom