instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
Report inasema Iringa ni mkoa wenye watu wenye kipato baada ya Dar es SalaamEvents zinazofanyika kwenye Mikoa ya wajanja.


Iringa sasa
Report inasema Iringa ni mkoa wenye watu wenye kipato baada ya Dar es SalaamEvents zinazofanyika kwenye Mikoa ya wajanja.


Iringa on average not by each individualReport inasema Iringa ni mkoa wenye watu wenye kipato baada ya Dar es Salaam
Iringa sasaView attachment 2669343View attachment 2669344
Ndio ile mikoa watu 10 tu ndo wanachangia pato la mkoa...huku waliobaki ni maskini wa kutupwa...Iringa on average not by each individual
Sasa huko Kagera maskini kama hao wa Iringa ni wengi saaaana.Ndio ile mikoa watu 10 tu ndo wanachangia pato la mkoa...huku waliobaki ni maskini wa kutupwa...
Hizi nyumba unaweza zunguka muleba nzima usizione...
Compare and contrast...mkoa tajiri iringa vs mkoa maskini zaidi Kagera
View attachment 2669352View attachment 2669355
Labda kwa kuangalia stendi ya Bukoba......Sasa huko Kagera maskini kama hao wa Iringa ni wengi saaaana.
Kama sio VIP basi hayo ni sawa na vyuma chakavuMwanza ni G7 tu ..makopo tupa kule View attachment 2669348View attachment 2669349
🤣🤣🤣 Hadithi kama za MohsolMwanza to dar list inazidi kuongezeka ..View attachment 2669428
Kwamba hyo ofisi ni ya mchongoHadithi kama za Mohsol
Wanazidi wanawadanganya![]()


... endelea kujifarijiHata Mohsol ulituonesha ofisi,basi liko wapi? 😁😁,Toka mwaka jana mwaka unaenda kuishi hivyoKwamba hyo ofisi ni ya mchongo... endelea kujifariji
Mohsal hujaona juzi wanapaka rangi G7 ndio ianze safari unadhani ruti ya mwanza ni ya kupeleka makopoHata Mohsol ulituonesha ofisi,basi liko wapi?,Toka mwaka jana mwaka unaenda kuishi hivyo
Njombe ikojeManispaa Ina kata 20 kata 12 tu ndo zipo town zingine vijijini duhHalmashauri ya Manispaa ya Kahama inazo Kata 12 zenye sura ya Mji ambazo zina huduma ya ukusanyaji, Uzoaji na usafirishaji wa taka ngumu.
Kata hizo ni Kahama Mjini, Nyasubi, Nyahanga, Nyihogo, Malunga, Mhungula, Busoka, Zongomera, Majengo, Mhongolo, Mwendakulima na Kagongwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama katika kuimarisha Usafi wa Mazingira imefunga Mikataba na Kampuni za GIN INVESTMENT LTD, TANWASTE na KIKUNDI cha Usafi wa Mazingira NAMANGA kwa ajili ya shughuli za Uzoaji, ukusanyaji na usafirishaji wa taka ngumu pamoja na kukusanya Ada ya Tozo ya taka ngumu.
Katika kuimarisha na kuboresha Usafi wa Mazingira Halmashauri pamoja na Watoa huduma wameingia Makubariano ya Kimkataba ya Miaka 3 (Miezi 36) kuanzia Mwaka wa Fedha 2022-2023.
Halmashauri ya Manispaa Kahama inazo Sheria Ndogo za Usafi wa Mazingira zilizotungwa Mwaka 2014 na kufanyiwa maboresho Mwaka 2018.
Halmashauri ya Manispaa ya Kahama inazo siku 2 katika Mwezi za kufanya USAFI WA MAZINGIRA ambazo ni Jumamosi ya Pili ya kila Mwezi na Jumamosi ya Mwisho ya Mwezi.
Aidha, kupitia Sheria Ndogo ya Halmashauri kila Mwananchi kuanzia ngazi ya Kaya, wafanya biashara na Taasisi huwajibika kufanya USAFI WA MAZINGIRA kila siku katika maeneo yao ya makazi na biashara.
Makusanyo yote hukusanywa kwa kutumia Mashine za Kielektloniki (POS).
Kamati za Maendeleo za Kata zimepewa jukumu la kusimamia Usafi wa Mazingira ngazi ya Kata pamoja na makusanyo ya Ada ya Tozo ya taka ngumu kupitia Kampuni/Vikundi vilivyopewa dhamana ya kazi hii.
SiasaNjombe ikoje
Kuna picha zake zingine hujaweka,hii shule Ina magorofa administration block na mabweni ya WatotoKAMATI YA CCM MKOA WA SONGWE YARIDHISHWA NA UKAMILISHAJI WA AWAMU YA KWANZA YA UJENZI WA SHULE YA DKT. SAMIA S. H.
Kamati ya siasa ya CCM mkoa wa Songwe imefurahishwa sana na ukamilishwaji wa miundombinu katika shule ya Dkt. Samia S. H. Sekondari inayotegemewa kupokea wanafunzi wa Kidato cha Tano kuanzia mwezi Agosti mwaka huu
Akizungumza June 24 2023 wakati wa ziara ya kamati ya siasa mkoani hapa mwenyekiti wa chama cha mapinduzi mkoa Radwell Mwampashi amesema wanamshukuru raisi Dr Samia Suluhu Hasani kwa kutoa pesa za kujenga mradi mkubwa ambao anatamani ungekuwa mradi wa kitaifa kulingana na hadhi yake huku akiwataka viongozi wa halmashauri ya mji tunduma kushirikiana na watumishi kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kwa wakati
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya Momba Fack Lulandala amesema wanapambana kusimamia ujenzi usiku na mchana ambapo amekuwa na utaratibu wa kutembelea mradi huo kila siku ya juma3 huku akibainisha kuwa wanatarajia kupokea wanafunzi 251 mwezi Agost wa michepuo 5 ikiwemo CBG,PCM,HKL,HGK na HGE
Shule hiyo yenye Gharama ya Tsh. 5,000,000,000/= ambapo Bilioni 4 zinatolewana Serikali kuu na Bilioni 1 imetolewa na Halmashauri ya Mji Tunduma kuunga mkono juhudi za Rais wa Jmahuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hasan
Aidha Mhe. Mwampashi alitoa pole kwa fundi mkuu pamoja na mafundi wengine ambayo wanajenga jengo la ghorofa kwa kifo cha mmoja wa aliyekuwa fundi wa kupaua ambaye kwa bahati mbaya aliteleza na kuanguka lakini alifariki alipokuwa ampelazwa kwa matibabu
Mwenyekiti aliwasihi sana mafundi wote waendelee kuchukua tahadhari pindi wanapoendelea kutekeleza majukumu yao ili kujilinda na ajali zinazoweza kuepukika
Mwisho Mhe. Mwampashi aliwaponView attachment 2669651geza wananchi wa mtaa wa namole kwa kutoa hekari 53 bure kwa ajili ya ujenzi washule hiyo kwani wameonyesha mmfano wa kuigwa kaView attachment 2669650tika kuiunga mkono serikali ya Chama cha Mapinduzi
Kuna picha zake zingine hujaweka,hii shule Ina magorofa administration block na mabweni ya Watoto