Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kuna hii Barabara ya songea namtumbo kidatu hadi mikumi inaenda kupunguza gari nyingi kupitia njombe hii ni short cut ko gari za dsm au moro zitapita njia hii 👇👇 SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI WA BARABARA YA LAMI LUMECHA RUVUMA HADI KIDATU MOROGORO
Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)imesaini Mikataba saba ya ujenzi wa barabara itakayo tekelezwa kwa miaka minne yenye thamani ya shilingi Trillion 3.7 yenye urefu wa kilometa 2035 kwa kiwango cha lami.

Mikataba hiyo imehusisha Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Mpepo – Londo – Lumecha/ Ruvuma, Arusha – Kibaya – Kongwa Construction Of Handeni – Kiberashi – Kijingu – Njoro – Olboroti Mrijo Chini – Dalai – Chambalo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida Igawa .

Nyingine ni Songwe – Tunduma Masasi – Nachingwea – Liwale Karatu – Mbulu – Hydom – Sibiti River – Lalago – Maswa Construction Of Mafinga – Mtwango – Mgololo ambapo kila mkandarasi anayehusika na mradi mkubwa, atakua na timu nne za ujenzi katika kutekeleza Mradi.

Akizungumza kwenye hafla hiyo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mnyaa Mbarawa ameeleza kuwa Barabara hizo zitajengwa Kwa kutumia utaratibu wa Engineering, Procurement, Construction and Financing (EPC + F).

Ameeleza kuwa utaratibu huo utaendelezwa katika miradi mingine mipya inayotekelezwa kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kwamba hatua iliyofikiwa hadi sasa ni kuwa Makandarasi wa miradi yote saba wamepatikana na kueleza kuwa mara mradi huo utakapo kamilika utasaidia kufungua fursa za kiuchumi katika maeneo zinapopita na kwa Taifa kwa ujumla.

Prof.Mbarawa ameeleza kuwa barabara zitakazojengwa zitapita katika Mikoa13 na kufafanua kuwa Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea yenye urefu wa kilometa 435.8 inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo.

“Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma; Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale,”amesema

Aidha amefafanua kuwa katika Mradi wa Barabara ya Igawa – Tunduma (km 218) ambao utajengwa kwa njia nne (4), imepangwa barabara hiyo ifanyiwe usanifu na ujenzi utakaowezesha kuifanya njia moja kuwa ya malori tu, na yatatumia njia hiyo kwa kulipia pia, itajengwa barabara ya mchepuo (ByPass) ambayo itapita Nje ya Jiji la Mbeya.
 
Kuna hii Barabara ya songea namtumbo kidatu hadi mikumi inaenda kupunguza gari nyingi kupitia njombe hii ni short cut ko gari za dsm au moro zitapita njia hii 👇👇 SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI WA BARABARA YA LAMI LUMECHA RUVUMA HADI KIDATU MOROGORO
Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)imesaini Mikataba saba ya ujenzi wa barabara itakayo tekelezwa kwa miaka minne yenye thamani ya shilingi Trillion 3.7 yenye urefu wa kilometa 2035 kwa kiwango cha lami.

Mikataba hiyo imehusisha Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Mpepo – Londo – Lumecha/ Ruvuma, Arusha – Kibaya – Kongwa Construction Of Handeni – Kiberashi – Kijingu – Njoro – Olboroti Mrijo Chini – Dalai – Chambalo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida Igawa .

Nyingine ni Songwe – Tunduma Masasi – Nachingwea – Liwale Karatu – Mbulu – Hydom – Sibiti River – Lalago – Maswa Construction Of Mafinga – Mtwango – Mgololo ambapo kila mkandarasi anayehusika na mradi mkubwa, atakua na timu nne za ujenzi katika kutekeleza Mradi.

Akizungumza kwenye hafla hiyo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mnyaa Mbarawa ameeleza kuwa Barabara hizo zitajengwa Kwa kutumia utaratibu wa Engineering, Procurement, Construction and Financing (EPC + F).

Ameeleza kuwa utaratibu huo utaendelezwa katika miradi mingine mipya inayotekelezwa kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kwamba hatua iliyofikiwa hadi sasa ni kuwa Makandarasi wa miradi yote saba wamepatikana na kueleza kuwa mara mradi huo utakapo kamilika utasaidia kufungua fursa za kiuchumi katika maeneo zinapopita na kwa Taifa kwa ujumla.

Prof.Mbarawa ameeleza kuwa barabara zitakazojengwa zitapita katika Mikoa13 na kufafanua kuwa Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea yenye urefu wa kilometa 435.8 inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo.

“Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma; Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale,”amesema

Aidha amefafanua kuwa katika Mradi wa Barabara ya Igawa – Tunduma (km 218) ambao utajengwa kwa njia nne (4), imepangwa barabara hiyo ifanyiwe usanifu na ujenzi utakaowezesha kuifanya njia moja kuwa ya malori tu, na yatatumia njia hiyo kwa kulipia pia, itajengwa barabara ya mchepuo (ByPass) ambayo itapita Nje ya Jiji la Mbeya.
Haipiti Namtumbo,Inaingilia Lumecha,mbele kidogo ya Msamala ni Songea Mjini ila ndio hivyo Mabasi ya kutoka Songea hakuna tena Kupitia Makambako Wala Lindi.

Labda yatakuja Kupitia tena Lindi kama Barabara ya Masasi-Nachingwe-Ruangwa Hadi Mbwemkuru ikija kukamiliko Iko kwenye ujenzi Kwa vipande vipande.
 
Kuna hii Barabara ya songea namtumbo kidatu hadi mikumi inaenda kupunguza gari nyingi kupitia njombe hii ni short cut ko gari za dsm au moro zitapita njia hii SERIKALI YASAINI MKATABA UJENZI WA BARABARA YA LAMI LUMECHA RUVUMA HADI KIDATU MOROGORO
Serikali kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)imesaini Mikataba saba ya ujenzi wa barabara itakayo tekelezwa kwa miaka minne yenye thamani ya shilingi Trillion 3.7 yenye urefu wa kilometa 2035 kwa kiwango cha lami.

Mikataba hiyo imehusisha Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Mpepo – Londo – Lumecha/ Ruvuma, Arusha – Kibaya – Kongwa Construction Of Handeni – Kiberashi – Kijingu – Njoro – Olboroti Mrijo Chini – Dalai – Chambalo – Chemba – Kwa Mtoro – Singida Igawa .

Nyingine ni Songwe – Tunduma Masasi – Nachingwea – Liwale Karatu – Mbulu – Hydom – Sibiti River – Lalago – Maswa Construction Of Mafinga – Mtwango – Mgololo ambapo kila mkandarasi anayehusika na mradi mkubwa, atakua na timu nne za ujenzi katika kutekeleza Mradi.

Akizungumza kwenye hafla hiyo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mnyaa Mbarawa ameeleza kuwa Barabara hizo zitajengwa Kwa kutumia utaratibu wa Engineering, Procurement, Construction and Financing (EPC + F).

Ameeleza kuwa utaratibu huo utaendelezwa katika miradi mingine mipya inayotekelezwa kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na kwamba hatua iliyofikiwa hadi sasa ni kuwa Makandarasi wa miradi yote saba wamepatikana na kueleza kuwa mara mradi huo utakapo kamilika utasaidia kufungua fursa za kiuchumi katika maeneo zinapopita na kwa Taifa kwa ujumla.

Prof.Mbarawa ameeleza kuwa barabara zitakazojengwa zitapita katika Mikoa13 na kufafanua kuwa Barabara ya Kidatu – Ifakara – Lupiro – Malinyi – Kilosa Kwa Mpepo – Londo – Lumecha/Songea yenye urefu wa kilometa 435.8 inapita katika mikoa ya Morogoro na Ruvuma na inapita pia katika Majimbo ya Kilombelo, Ulanga, Malinyi na Namtumbo.

“Barabara ya Igawa – Songwe – Tunduma (njia nne) (km 237.9) inapita katika Mikoa ya Mbeya na Songwe na inapita katika Majimbo ya Mbarali, Mbeya Vijijini, Mbeya Mjini, Mbozi, Vwawa na Tunduma; Barabara ya Masasi – Nachingwea – Liwale (km 175) inapita katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na inapita katika Majimbo ya Masasi, Nachingwea na Liwale,”amesema

Aidha amefafanua kuwa katika Mradi wa Barabara ya Igawa – Tunduma (km 218) ambao utajengwa kwa njia nne (4), imepangwa barabara hiyo ifanyiwe usanifu na ujenzi utakaowezesha kuifanya njia moja kuwa ya malori tu, na yatatumia njia hiyo kwa kulipia pia, itajengwa barabara ya mchepuo (ByPass) ambayo itapita Nje ya Jiji la Mbeya.
Mbeya pangeni jiji Lenu sasa ...hii opportunity siyo ya kuchezea ......msipokuwa jiji la kisasa awamu ya mama . msahau kabisa kuendelea huko mbele
 
Mbeya pangeni jiji Lenu sasa ...hii opportunity siyo ya kuchezea ......msipokuwa jiji la kisasa awamu ya mama . msahau kabisa kuendelea huko mbele
Baba ujenzi Mbeya haujaisha ,bado Iwambi-Mbalizi Bypass km 6.5

na Mbalizi-Mkwajuni-Galula-Makongolosi(km 112)

Na Makongolosi- Tabora/Singida (Barabara ya Kimkakati)

Baadae ni Mbalizi-Shigamba Hadi Tukuyu na Ileje
Screenshot_20230618-075633_1.jpg
 
Baba ujenzi Mbeya haujaisha ,bado Iwambi-Mbalizi Bypass km 6.5

na Mbalizi-Mkwajuni-Galula-Makongolosi(km 112)

Na Makongolosi- Tabora/Singida (Barabara ya Kimkakati)

Baadae ni Mbalizi-Shigamba Hadi Tukuyu na Ileje
View attachment 2661086
Ndo nimewapa ushauri huu .. endeleeni kujenga frame na vibanda Kati kati ya jiji
..
Mambo kama haya mtabaki kuyasikia Kwa wenzenu
6.jpg
rockcity mall-125.d0ef876f.jpg
 
Ndo nimewapa ushauri huu .. endeleeni kujenga frame na vibanda Kati kati ya jiji
..
Mambo kama haya mtabaki kuyasikia Kwa wenzenu View attachment 2661110View attachment 2661112
Hatuna mda wa kuhangaika na vitu vya kijinga visivyo na Tija Bora hata ungesema Stand..

Kwa kuwa Barabara za Kisasa zinakuja tutajenga Stand yenye hadhi..

Mwanza mnatia huruma yaani nimeona upembuzi Yakinifu tuu huko 😁😁
 
Tuliwambia nyanda za juu kusini Wana mikakati mizito Kila mkoa umepewa jukumu haya Sasa express way inakuja ya kulipia na kwa Sasa wanaanzia Igawa hadi tunduma lengo mizigo itakuja na tren hadi makambako inakojengwa bandari kavu baada ya hapo maroli yenye haraka yatapita njia HiYo
FB_IMG_16870681531546637.jpg
TRENI YA MWAKYEMBE KUKABIDHIWA SEKTA BINAFSI

SERIKALI imesema Reli ya Dar es Salaam (Dar -Commuter Rail) maarufu kama treni ya Mwakyembe ni moja ya miradi inayokusudiwa kuendeshwa na sekta binafsi ikiwa ni utaratibu wa kutekeleza Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 – 2025/26.

Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba amesema bungeni jiji Dodoma kuwa mradi huo ni miongoni mwa miradi 48 ambayo serikali inakusudia kuiendesha kwa ubia na sekta binafsi.

Benki ya Dunia na wadau wengine imebainisha jumla ya miradi 48 inayoweza kutekelezwa kwa utaratibu wa ubia na sekta binafsi.

Miradi mingine ni Reli ya Mtwara-Bamba Bay; Uendeshaji wa Reli (Rolling stocks); Uendeshaji wa Barabara ya haraka (expressway) kutoka Igawa-Tunduma; Barabara za 38 kupunguza msongamano katikati ya Jiji la Dar es Salaam (Inner and Outer Ring Roads); Barabara za haraka kutoka Kibaha Chalinze - Morogoro hadi Dodoma na kuunganisha Jiji la Dodoma na Dar es Salaam kwa barabara za haraka; Bandari kavu katika eneo la Kisiwa/Mgao – Mtwara; na Kuboresha na Upanuzi wa bandari katika Ziwa Victoria - Mwanza na Nansio - Ukerewe.

Mwigulu amesema utaratibu huo ni sehemu ya mpango wa kimkakati wa serikali kushirikisha sekta binafsi ambayo ilipewa jukumu la kugharamia asilimia 17 ya bajeti karibu Sh trilioni 21.

#mudumohupdates
 
Back
Top Bottom