ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,141
- 85,033
- Thread starter
- #16,681
Huu mradi wa Igawa-Tunduama ni zaidi ya sh.Tilioni 1. peke yake na Kwa taarifa Yako kutakuwa na Kambi 4 Kwa pamoja,sections zote ujenzi utakuwa unaendelea..
On top of that kutakuwa na dedicated lanes maalumu Kwa Malori tuu
Pia Waziri amesema Watafikiria kuweka Bypass nyingine Songwe(Vwawa) na Tunduma




