Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Upo Sahihi naona weng wameshauri hivo na wengine wakadai ni bora ijengwe hata by pass kutoka kibena hadi stand mji mwema


Kuweka Dual Carriage kwamaeneo ya ndani ya Mji sawa ila sio njia yote..

-Serikali ikarabati hiyo Barabara yote Kwa kuipanua kama walivyosema
-Ikenge ile Barabara ya Njombe/Ramadhani Hadi Tanzam Highway
-Ikenge Barabara ya Mtwango-Nyololo/Tanzam Highway
-Njombe-Makete-Mbeya
-Njombe-Ifakara
-Itoni/Njombe-Kudewa-Manda-Mbamba Bay

Ikifanyika hivyo Barabara itakuwa safi na Wala hakuna msongamano wa Malori hapo mjini
 
Igowole mufindi
FB_IMG_16867767601789515.jpg
FB_IMG_16867767473248890.jpg
 
Mk boy Mtwango ipi inayozungumziwa? Ya Njombe au ipo nyingine?
Pia Kuna Barabara ya Nyololo Mtwango nayo inajengwa Kwa lami ,ndio ipi hasa? Mbona zinanichanganya?
 
Back
Top Bottom