Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mbeya Hanna kitu hata hotel ya ghorofa kumi hakuna
Wapi Kuna hoteli ya Gorofa 10?
Hii hapa ni makalio Yako?
20230418_125532.jpg
20230418_125545.jpg
 
Siku zote watu tuliwambia zone ya nyanda za juu kusin tulicheleweshwa ni zone yenye biashara kubwa Sasa tumepata raisi mwenye maono maana mizigo mingi ya bandari inapitwa hii Barabara hadi Sasa kunaongezeko kubwa la magari naona tanroad wameliona Hilo Sasa express way ni nyanda za juu kusini na kibaha hadi dodoma zone nyingine msubiri kidogo mfikie level za Hawa jamaa na kinachokwenda kutokea hii miji inakwenda kuungana ukitoka makambako hadi tunduma nyumba zinakwenda kuongezeka Sana Kama itakavo kuwa dsm hadi dodoma ni maeneo ambayo uwekezaji unaenda kukua zaidi na kuwa kibiashara zaidi Yani mama kacheza na maoni ya watu ya Muda mrefu sana
FB_IMG_16870705701367559.jpg
 
Siku zote watu tuliwambia zone ya nyanda za juu kusin tulicheleweshwa ni zone yenye biashara kubwa Sasa tumepata raisi mwenye maono maana mizigo mingi ya bandari inapitwa hii Barabara hadi Sasa kunaongezeko kubwa la magari naona tanroad wameliona Hilo Sasa express way ni nyanda za juu kusini na kibaha hadi dodoma zone nyingine msubiri kidogo mfikie level za Hawa jamaa na kinachokwenda kutokea hii miji inakwenda kuungana ukitoka makambako hadi tunduma nyumba zinakwenda kuongezeka Sana Kama itakavo kuwa dsm hadi dodoma ni maeneo ambayo uwekezaji unaenda kukua zaidi na kuwa kibiashara zaidi Yani mama kacheza na maoni ya watu ya Muda mrefu sana
View attachment 2662761
Unapenda kuota ...amka Toka usingizinj
 
Back
Top Bottom