Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Endelea kukenua.
Nanenane Kitaifa miaka 3 mfululizo Mbeya

Wizara inaandaa Master plan ya Uwanja wa Nanenane Mbeya Ili uwe na viwango vya Kimataifa.

Mgeni Rasmi mwaka huu ni mh.Rais

Mwisho Rais atakuja kuweka Jiwe la msingi ujenzi wa Barabara njia 4
 
Kahama beby
20230622_172441.jpg
20230622_123121.jpg
 
Endelea kukenua.
Nanenane Kitaifa miaka 3 mfululizo Mbeya

Wizara inaandaa Master plan ya Uwanja wa Nanenane Mbeya Ili uwe na viwango vya Kimataifa.

Mgeni Rasmi mwaka huu ni mh.Rais

Mwisho Rais atakuja kuweka Jiwe la msingi ujenzi wa Barabara njia 4
Watu wa mbeya ni washamba sana .njia nne nazo ni za kushangiliwa enzi hizi....
Huko tushatoka muda sana ....wa kushangiliwa njia wanapaswa kuwa sumbawanga au mpanda ...sio city status.
Long ago tushatoka
IMG-20221106-WA0005.jpg
IMG-20221105-WA0008.jpg
 
Second largest port in the lake Region...Bukoba port..iko under expansion kusubiri meli mpya ya Mv Mwanza....


Bukoba port maarufu kama custom ipo 4km from Bukoba Municipal centre...
Inahudumiaa meli kubwa za mizigo na abiria kama MV Victoria na ni moja ya bandari kongwe nchini...
1687450168670.jpg
1687450164003.jpg
1687450160957.jpg
 
Yaani hapa list haijakamilika,hayo yote yanaanzia Safari Mbeya, mengine yamegawanyika Makambako.

 
Hapo karibia mikoa yote ...
Sasa nikilete list ya mwanza kwenye majiji yote tanzania utakaa humu au nianze
Kila Mkoa Kuna bus za Mbeya kasoro Musoma,Kigoma, Bukoba na Kahama&Baridi na sijui Kwa nini hakuna Bus la Kahama-Mbeya..

Kigoma,Bariadi na Musoma ni kwa vile Barabara sehemu kubwa ni Vumbi..

Ila.nyie Mwanza Hamtakaa muwe na route ya Tanga wala Mtwara.
 
Kila Mkoa Kuna bus za Mbeya kasoro Musoma,Kigoma, Bukoba na Kahama&Baridi na sijui Kwa nini hakuna Bus la Kahama-Mbeya..

Kigoma,Bariadi na Musoma ni kwa vile Barabara sehemu kubwa ni Vumbi..

Ila.nyie Mwanza Hamtakaa muwe na route ya Tanga wala Mtwara.
Ruti ya Tanga Kufata nini sasa huko.....au mtwara Kuna nini makorosho au
Mwanza to Arusha to Kilimanjaro
sangiwa exp
Isamilo
Kapricon
Kiazi kitamu
Asante rabi
Raqeeb
Masalu mega
Nyehunge
Kisesa express
Mghamba
Mwanza to iringa to Mbeya/songea
Superfeo
Kapricon
Isamilo
Premier
Fikoshi
Sabuni exp
Mwanza to tabora to mpanda/rukwa
alys star
Nyehunge
Premier
Nbs
AM
Mwanza to singida to dodoma/morogoro
Satco
Bright line
Sabco
Ngasere
Malangwa
Alys star
Fikoshi
Nyehunge
Isamilo
Abood
Mwanza to dar es salaam
Katarama
Alys star
Frester
Mohsal express
Zuberi
Happy national
Alfa
Phoenix
Isamilo
Travel partner
Libanika tanzanite
Super najmunisa
Kidia one
Soon baraka express
Hapa sijakutajia bus za Kanda ya ziwa
Na ndio maana tuna stendi mbili .hizi zote zinapaki nyegezi .sijakupa za nyamhongolo
Leta list ya mbeya
 
Ruti ya Tanga Kufata nini sasa huko.....au mtwara Kuna nini makorosho au
Mwanza to Arusha to Kilimanjaro
sangiwa exp
Isamilo
Kapricon
Kiazi kitamu
Asante rabi
Raqeeb
Masalu mega
Nyehunge
Kisesa express
Mghamba
Mwanza to iringa to Mbeya/songea
Superfeo
Kapricon
Isamilo
Premier
Fikoshi
Sabuni exp
Mwanza to tabora to mpanda/rukwa
alys star
Nyehunge
Premier
Nbs
AM
Mwanza to singida to dodoma/morogoro
Satco
Bright line
Sabco
Ngasere
Malangwa
Alys star
Fikoshi
Nyehunge
Isamilo
Abood
Mwanza to dar es salaam
Katarama
Alys star
Frester
Mohsal express
Zuberi
Happy national
Alfa
Phoenix
Isamilo
Travel partner
Libanika tanzanite
Super najmunisa
Kidia one
Soon baraka express
Leta list ya mbeya
Wasukuma na ustaarabu wapi na wapi? Ndio maana mnashindwa kwenda Tanga na Mtwara..

Mengine ni kujifariji tuu.
 
Ruti ya Tanga Kufata nini sasa huko.....au mtwara Kuna nini makorosho au
Mwanza to Arusha to Kilimanjaro
sangiwa exp
Isamilo
Kapricon
Kiazi kitamu
Asante rabi
Raqeeb
Masalu mega
Nyehunge
Kisesa express
Mghamba
Mwanza to iringa to Mbeya/songea
Superfeo
Kapricon
Isamilo
Premier
Fikoshi
Sabuni exp
Mwanza to tabora to mpanda/rukwa
alys star
Nyehunge
Premier
Nbs
AM
Mwanza to singida to dodoma/morogoro
Satco
Bright line
Sabco
Ngasere
Malangwa
Alys star
Fikoshi
Nyehunge
Isamilo
Abood
Mwanza to dar es salaam
Katarama
Alys star
Frester
Mohsal express
Zuberi
Happy national
Alfa
Phoenix
Isamilo
Travel partner
Libanika tanzanite
Super najmunisa
Kidia one
Soon baraka express
Hapa sijakutajia bus za Kanda ya ziwa
Na ndio maana tuna stendi mbili .hizi zote zinapaki nyegezi .sijakupa za nyamhongolo
Leta list ya mbeya
Harafu wewe ni kapuuzi hizo route za Mwanza-Iringa ni Mabasi ya Mwanza -Mbeya hayo..

Subirieni Barabara ya Tabora imalizike ndio mtaanzisha Mwanza-Iringa na vibasi chakavu ila Mwanza Mbeya hata Sasa ni Mabasi mapya safi kabisa si unajua.mbeya Huwa hatupandi vitu chakavu
 
Harafu wewe ni kapuuzi hizo route za Mwanza-Iringa ni Mabasi ya Mwanza -Mbeya hayo..

Subirieni Barabara ya Tabora imalizike ndio mtaanzisha Mwanza-Iringa na vibasi chakavu ila Mwanza Mbeya hata Sasa ni Mabasi mapya safi kabisa si unajua.mbeya Huwa hatupandi vitu chakavu
Hyo barabara ambayo hata EPC plus F imeshindwa kuiona ... inshort tunakuja mbeya kubeba utajiri wa chunya ...na ndio maana usishangae miaka 20 ijayo chunya itakuwa sukumaland ya kusini kama ilivyo leo mpanda ..
 
Harafu wewe ni kapuuzi hizo route za Mwanza-Iringa ni Mabasi ya Mwanza -Mbeya hayo..

Subirieni Barabara ya Tabora imalizike ndio mtaanzisha Mwanza-Iringa na vibasi chakavu ila Mwanza Mbeya hata Sasa ni Mabasi mapya safi kabisa si unajua.mbeya Huwa hatupandi vitu chakavu
Kuna kapricon ya mwanza mbeya au unaongea tu bila kutumia akili
20230620_204309.jpg
 
Back
Top Bottom