Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Tuelewane kwanza, Kahama ni wilayani

Uwanja umefungwa sasa, watu wapo site
1686416377938.png

1686416424835.png

1686416448842.png
 
Utasikia Kahama Nako eti Kuna Malori wanatengeneza Hadi parking 😆😆
 
Hii ndo maana halisi tunayosema makambako kuwa logistic and transport centre +255 739 998 855
info@tazarasite.com



Home
TANZANIA-ZAMBIA RAILWAY AUTHORITY
TAZARA
Search this site

From Sea to Rail​


TAZARA has modern cargo terminus, complete with gantry cranes and other handling facilities at New Kapiri Mposhi, Kasama, Makambako and Dar es Salaam stations.
These facilities provide a quick and efficient means for exporters and importers from different regions of Africa to load and offload cargo onto and from TAZARA wagons. New Kapiri Mposhi handles cargo to and from the Southern and Central African regions, whilst Kasama covers the Great Lakes region. Similarly, Mbeya and Makambako cater for cargo from Malawi and some parts of the Great Lakes.
With such spread of the TAZARA terminus, cargo is easily relayed from region to region. In addition, there is a privately owned trans-shipment facility at Kidatu that handles the transfer of cargo from the wider gauge (1,067mm) wagons of TAZARA onto the narrower gauge (1,000mm) wagons of the Tanzania Railways Limited (TRL) facilitating inter-connectivity amongst the regions of Southern, Central and East Africa

OUR SERVICES​

Engineering Workshops
Freight Services
Passenger Services
Construction Units
Quarries
Training

NEWS & UPDATES​


MAY 28, 2023
Communique on the occasion of the 119th Meeting of the TAZARA Board of Directors

APRIL 17, 2023
Train operations back to normal

APRIL 11, 2023
Train services suspended in Zambia due to a damaged bridge

MARCH 17, 2023
Communique on the occasion of the Meeting of the TAZARA Council of Ministers






e-permitGMSCopyright © 2023 TAZARA. All Rights Reserved.
Designed & Developed by: Duxte Ltd

24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 
Makambako tc na hili ni eneo special kwaajili ya kujenga mantank ya mafuta ko mafuta yatashushiwa hapa ili kusupply mikoa ya nyanda za juu kusini na nchi jilan miundombinu yote ipo hadi reli imesha unganishwa Na tayar watu wamesha hamishwa
FB_IMG_16865380697374738.jpg
 
Kahama inakimbiza mwizi kimya kimya
On . kahama bussines complex.. construction on
IMG_20230612_185727_028.jpg
 
Haya Sasa Barabara ya makambako njombe km 45 zinakwenda kuwa njia nne hii ni kutokana na ongezeko la magari na ukuaji wa miji itakuwa kama hivi makambako round about hadi wangama km 30 na kibena hadi hagafilo km 15 njia nne jml 45 Kuna sehemu zitakuwa n madaraka ya juu ma designer Wanaendelea na Jana bungeni swal la mbunge wa njombe Lili jibiwa hub 👇👇👇
Mbunge wa Njombe mjini Deo Mwanyika ameitaka serikali kueleza ni lini itatekeleza ukarabati wa Barabara ya Njombe – Makambako ambayo ilijengwa zamani, na hivyo kushindwa kukidhi mahitaji ya sasa kutokana na uwepo wa shughuli nyingi za kiuchumi ambazo zinahitaji upanuzi wa Barabara hiyo, lakini pia Mwanyika ameutaja ukuaji kwa kasi wa mji wa Njombe kuwa sababu ya uhitaji wa Barabara pana zaidi.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, amesema kuwa serikali inatafuta fedha kutoka katika vyanzo mbalimbali ili kutekeleza ukarabati wa Barabara hiyo ambayo inaunganisha mkoa wa Ruvuma, ikiwa na jumla ya kilomita 265 huku akiahidi kuwa upanuzi wa Barabara ya Njia nne kuanzia Kibena hadi Hagafilo ufanyika wakati serikali ikitafuta pesa za ukarabati wa Barabara nzima ili kutatua tatizo la ufinyu wa Barabara hiyo katika mji wa Njombe, ambayo haikidhi mahitaji kwasasa kutokana na ukuaji wa mji huo.
#kingsfmradio #jisikiemfalme #NipoTayari
 
Haya Sasa Barabara ya makambako njombe km 45 zinakwenda kuwa njia nne hii ni kutokana na ongezeko la magari na ukuaji wa miji itakuwa kama hivi makambako round about hadi wangama km 30 na kibena hadi hagafilo km 15 njia nne jml 45 Kuna sehemu zitakuwa n madaraka ya juu ma designer Wanaendelea na Jana bungeni swal la mbunge wa njombe Lili jibiwa hub
Mbunge wa Njombe mjini Deo Mwanyika ameitaka serikali kueleza ni lini itatekeleza ukarabati wa Barabara ya Njombe – Makambako ambayo ilijengwa zamani, na hivyo kushindwa kukidhi mahitaji ya sasa kutokana na uwepo wa shughuli nyingi za kiuchumi ambazo zinahitaji upanuzi wa Barabara hiyo, lakini pia Mwanyika ameutaja ukuaji kwa kasi wa mji wa Njombe kuwa sababu ya uhitaji wa Barabara pana zaidi.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, amesema kuwa serikali inatafuta fedha kutoka katika vyanzo mbalimbali ili kutekeleza ukarabati wa Barabara hiyo ambayo inaunganisha mkoa wa Ruvuma, ikiwa na jumla ya kilomita 265 huku akiahidi kuwa upanuzi wa Barabara ya Njia nne kuanzia Kibena hadi Hagafilo ufanyika wakati serikali ikitafuta pesa za ukarabati wa Barabara nzima ili kutatua tatizo la ufinyu wa Barabara hiyo katika mji wa Njombe, ambayo haikidhi mahitaji kwasasa kutokana na ukuaji wa mji huo.
#kingsfmradio #jisikiemfalme #NipoTayari
Bora hata Waziri ameweza kujibu swali na kuweka mipango mkakati,na juhudi zinaonekana.

Leo Waziri anaulizwa serikali ina mpango gani kuinua kipato cha mwananchi wa mkoa wa Kagera ukizingatia ni mkoa uliopakana na nchi nyingi na ardhi kubwa yenye rutuba.

Alichokijibu ni upuuzi mtupu, eti serikali imeweka mipango mkakati wakati huoni chochote walichokipanga.

Hivi huwa ni lazima Waziri ajibu swali hata kama hana majibu, kanuni haimruhusu Waziri kusema sijui badala ya kuongea maneno ya uongo ?

Mtu unaulizwa kwanini mkoa unachangia pato dogo kwa serikali, mmejipangaje kuufanya uwe unachangia pato kubwa kulingana na rasilamali ulizonazo, mtu anajibu wamejipanga kwenye mifugo.....!!

Nimeona maajabu leo.
 
Haya Sasa Barabara ya makambako njombe km 45 zinakwenda kuwa njia nne hii ni kutokana na ongezeko la magari na ukuaji wa miji itakuwa kama hivi makambako round about hadi wangama km 30 na kibena hadi hagafilo km 15 njia nne jml 45 Kuna sehemu zitakuwa n madaraka ya juu ma designer Wanaendelea na Jana bungeni swal la mbunge wa njombe Lili jibiwa hub 👇👇👇
Mbunge wa Njombe mjini Deo Mwanyika ameitaka serikali kueleza ni lini itatekeleza ukarabati wa Barabara ya Njombe – Makambako ambayo ilijengwa zamani, na hivyo kushindwa kukidhi mahitaji ya sasa kutokana na uwepo wa shughuli nyingi za kiuchumi ambazo zinahitaji upanuzi wa Barabara hiyo, lakini pia Mwanyika ameutaja ukuaji kwa kasi wa mji wa Njombe kuwa sababu ya uhitaji wa Barabara pana zaidi.

Akijibu swali hilo Naibu Waziri Ujenzi na Uchukuzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, amesema kuwa serikali inatafuta fedha kutoka katika vyanzo mbalimbali ili kutekeleza ukarabati wa Barabara hiyo ambayo inaunganisha mkoa wa Ruvuma, ikiwa na jumla ya kilomita 265 huku akiahidi kuwa upanuzi wa Barabara ya Njia nne kuanzia Kibena hadi Hagafilo ufanyika wakati serikali ikitafuta pesa za ukarabati wa Barabara nzima ili kutatua tatizo la ufinyu wa Barabara hiyo katika mji wa Njombe, ambayo haikidhi mahitaji kwasasa kutokana na ukuaji wa mji huo.
#kingsfmradio #jisikiemfalme #NipoTayari


Kuweka Dual Carriage kwamaeneo ya ndani ya Mji sawa ila sio njia yote..

-Serikali ikarabati hiyo Barabara yote Kwa kuipanua kama walivyosema
-Ikenge ile Barabara ya Njombe/Ramadhani Hadi Tanzam Highway
-Ikenge Barabara ya Mtwango-Nyololo/Tanzam Highway
-Njombe-Makete-Mbeya
-Njombe-Ifakara
-Itoni/Njombe-Kudewa-Manda-Mbamba Bay

Ikifanyika hivyo Barabara itakuwa safi na Wala hakuna msongamano wa Malori hapo mjini
 
Back
Top Bottom