Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa nini zipikwe Kwa Kagera tuu?

Sasa kwetu Kuna nafuu kuliko Kagera,kule sio tuu kumepauka Bali kumepatwa na ufukara
Bukoba port.....
1686127385116.jpg
 
Naona tarura wamefanya Yao makambako tc Kila Kona ni lami tu hapo ni around uwanja wa aman makambako kwa kweli wameitendea haki makambako kujenga km 10 kwa mpigo naona Sasa CBD wamemaliza inaanza Kaz ya ku connect na kata za pembezoni Sasa na hii imesaidia mji kuchangamka zaidi kuwa kibiashara zaidi
FB_IMG_16827025240705409.jpg

FB_IMG_16835674869565098.jpg
FB_IMG_16854969872812248.jpg
 
Kauli yangu ni Ile Ile,Kazi yenu ni kuja baada ya Mbeya..

Mwaka Jana mwezi disemba Abood alinza route ya VIP Mbeya huko Mwanza akiwapa.yale machakavu aliyoyatoa Mbeya..

Acha uongo labda kama DKY na DLS na DJP ndo mnaziona Luxury gari zilizopiga Dar Moro ndo zikahamishiwa Mbeya na Tunduma ila Abood hajawah peleka Luxury Mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mk boy Napita hapa Makambako nimeona Mji umechanganya sana hasa Viwanda..

Ila unafeli wapi naona Kuna gorofa 2 Mpya hapa,hapa NMB Kuna Barabara ya mtaa ya lami Kwa mbele Kuna gorofa mbona hujatuletea picha?
 
Mk boy Napita hapa Makambako nimeona Mji umechanganya sana hasa Viwanda..

Ila unafeli wapi naona Kuna gorofa 2 Mpya hapa,hapa NMB Kuna Barabara ya mtaa ya lami Kwa mbele Kuna gorofa mbona hujatuletea picha?
Nitaleta kaka sema Kuna mishe zilini keep busy kidogo afu Ile ishu ya chuo kikuu Leo ndo imejadiliwa kuwa kijengwe njombe afu bandari makambako ko Kaz ya ujenzi soon inaanza
 
Kati ya mizigo iliyosafirishwa mwaka huu, 38.2% imesafirishwa na kampuni binafsi mbili zilizoingia mkataba na TAZARA kutumia njia ya reli kwa kulipia.
FB_IMG_16864035211900761.jpg

Ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi unaongeza mapato, unalinda ajira za Watanzania na kukuza biashara.
#MamaYukoKazini
 
Back
Top Bottom