Njombe katika ubora
Wanaangalia miundombinu..na changamoto ya usafiri........ huwezi sema mbeya iwe na uhitaji wa brt kuliko dar ...then why imeanzia dar na sio mbeyaKitombile Mikdde Mapank
Mahitaji ya BRT Kwa Majiji ya Tanzania Kwa.mujibu wa DART.
-Mbeya km 56 BRT,uhitaji 95%
-Mwanza km 31 uhitaji 90%
-Tanga km 35 Uhitaji 88%
-Dar ,Eneo lote Uhitaji 85%
-Dodoma km 52,Uhitaji 80%
-Arusha Km 14.4, Uhitaji Asilimia 70%
Mpaka hapo Jiji kubwa limejulikana
Kama DART hawataenda Kisiasa na wakafuata Mpango biashara ni wazi baada ya Dar ,mradi wa Dart inatakiwa kuanza kujengwa Mbeya View attachment 2634482



😆😆😆😁😁😁 Nasikia harufu ya wivu ,Wanaangalia miundombinu..na changamoto ya usafiri........ huwezi sema mbeya iwe na uhitaji wa brt kuliko dar ...then why imeanzia dar na sio mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Za kuanzia, umeishavimba kichwa, unadhani hata DAR hizo zilzopo hapo ndio zimetosha???? Kigamboni - Pembamnazi unappajua??? Yaani wewe ni kiazi kweli 😛 😛 😛 😛Kitombile Mikdde Mapank
Mahitaji ya BRT Kwa Majiji ya Tanzania Kwa.mujibu wa DART.
-Mbeya km 56 BRT,uhitaji 95%
-Mwanza km 31 uhitaji 90%
-Tanga km 35 Uhitaji 88%
-Dar ,Eneo lote Uhitaji 85%
-Dodoma km 52,Uhitaji 80%
-Arusha Km 14.4, Uhitaji Asilimia 70%
Mpaka hapo Jiji kubwa limejulikana 😆😆
Kama DART hawataenda Kisiasa na wakafuata Mpango biashara ni wazi baada ya Dar ,mradi wa Dart inatakiwa kuanza kujengwa Mbeya View attachment 2634482
Kuna harufu ya wivu hapa ,Wapi nimesema zimetosha? 😂😂😂Za kuanzia, umeishavimba kichwa, unadhani hata DAR hizo zilzopo hapo ndio zimetosha???? Kigamboni - Pembamnazi unappajua??? Yaani wewe ni kiazi kweli 😛 😛 😛 😛
Kutoa huduma wanaangalia wahitaji au urefu wa transport corridor???? Wacha kutumia kalio kufikiriKuna harufu ya wivu hapa ,Wapi nimesema zimetosha? 😂😂😂
Unajua Kwa nini Dart wameshindwa kuanza sehemu zingine?
Sheria ikibadilika na Dart wasiposhinikizwa Kisiasa basi watafuata feasibility study itakayowalipa,wataleta BRT Mbeya.
Mwanza mtaendelea kuwa mkiani tuu daily 😆😆
Kwa hiyo wewe na Dart tuchukue mawazo ya nani? 🤣🤣Kutoa huduma wanaangalia wahitaji au urefu wa transport corridor???? Wacha kutumia kalio kufikiri
Sawa DART wataanzia MbeyaKwa hiyo wewe na Dart tuchukue mawazo ya nani? 🤣🤣
Wakiianzia pale Airport watapata wasafiri Hadi wa VIP wanaoshuka na ndege pale Songwe..
Kama hamjaleta politics uchwara na wivu lazima waanzie Mbeya..Sa
Sawa DART wataanzia Mbeya
Umefikia hatua ya kuhamisha goli 😛 😛 😛 Itaanzia Mbeya Jiji la Pili kwa ukubwaKama hamjaleta politics uchwara na wivu lazima waanzie Mbeya..
Hata wasipoanzia Mbeya,waanze huko kwenu Ili wajenge vitu vya ajabu ajabu harafu waje kujenga vitu classic Mbeya kama njia 4 km 36*2=72

Sitaki maneno mengi yaliyojaa wivu,kawaulize Dart kwamba Kwa nini Mbeya ijengwe BRT wakati wewe nkanziga unaona hakuna mahitaji? 😂😂Sasa Mbeya ijengwe BRT kwa mahitaji yapi asee... yaan hata vipanya tu vimetosheleza mahitaji hadi vinakosa abiria ndo wapewe BRT wakati kuna sehemu ukienda usafiri umezidiwa
Sent using Jamii Forums mobile app