Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wataenda wapi? Ndio mnavyojidanganya na hao Vijana mashabiki wenu kwenye mikutano wanaokuja kwenye burudani na kuwashangaa?

Yaani mtu uache kumchagua Tulia uje kumchagua Sugu una akili au taahira?
Mmoja wapo ni mwanyika wa njombe..... ..huyo aanze kukusanya tu pesa za mfuko wa Jimbo .....
Wew Kwa akili yako tulia ni WA kumshinda sugu ..au jesica amshinde msigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmoja wapo ni mwanyika wa njombe..... ..huyo aanze kukusanya tu pesa za mfuko wa Jimbo .....
Wew Kwa akili yako tulia ni WA kumshinda sugu ..au jesica amshinde msigwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe chadomo ni mjinga wa mwisho,nakuhakikishia Sugu hatokaa apite tena hapo Mbeya ,shika haya maneno tukutane 2025 tukiwa wazima..

Swala la Jesca na Mwanyika itategemea watakaoshinda ubunge Kula za maoni..

Asas tuu akiamua kuchukua form msigwa ataishia kubwabwaja mtaani tuu.
 
FB_IMG_16849098044539257.jpg
 
Back
Top Bottom