ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,109
- 85,005
- Thread starter
- #16,401
Kwa Barabara za TARURA,keki haitoshiTupige kazi tunasafirishaje mazao yetu na bidhaa zetu ikiwa hatuna barabara?
Kwa Barabara za TARURA,keki haitoshiTupige kazi tunasafirishaje mazao yetu na bidhaa zetu ikiwa hatuna barabara?
Moja ya Mikoa inayopendelewa awamu hii bara ni Ruvuma,nimekuwa naufuatilia sana ni sekta zote wanaupa kipaombele
Hizo bilion 300 wamepeleka ATCL za nn ..kwann wasipumzike kwanza kuinject mabilioni ya shilingi kwenye Hilo shirikaKwa Barabara za TARURA,keki haitoshi
Kununulia ndege..Hizo bilion 300 wamepeleka ATCL za nn ..kwann wasipumzike kwanza kuinject mabilioni ya shilingi kwenye Hilo shirika
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo ya nyandekwa kahama Kila mwaka wanajenga meter 200 za lami Tena Ile nyepesi ya kokoto kama TARURA ,,na mwaka huu wamepewa million 500 watafika nyamilangano Lini sasa ..this is nonsenseKununulia ndege..
Mtakeni Rashi Mbarawa,kwanza awamu hii amewapendelea sana instanbul View attachment 2631757
Wabunge Wetu wanaendelea kukaza kibishi Hadi kieleweke huku 👇Hyo ya nyandekwa kahama Kila mwaka wanajenga meter 200 za lami Tena Ile nyepesi ya kokoto kama TARURA ,,na mwaka huu wamepewa million 500 watafika nyamilangano Lini sasa ..this is nonsense
Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine stendi ya magufuli pale Dar ilitumia billion 71 kujengwa...hiv wangetumia billion 18 kujenga stendi ya kawaida nzr kwa kutumia architecture nzr na ya kuvutia walishindwa nini?Geita hiyo hapo inayoingiza bilion 700 kwa mwaka lakini hata barabara moja tu ya maana hakuna hili linchi la ovyo natamani kutukana lakin basi tu, kama hatutakiw basi waache kuchuma utajiri wetu na kujinufaishe wao na miji yao.
Kasekenya wa ilejeWabunge Wetu wanaendelea kukaza kibishi Hadi kieleweke hukuView attachment 2631766
Ileje ni Songwe,Kwa hiyo hao Manaibu wanasimamia maslahi ya Mikoa yote ya Nyanda za Juu Kusini when it comes to Barabara na Uchukuzi..
Umemuona mwamba? Anazijua Barabara zote Tanzania,sio Kwa bahati mbaya yeye Mwenyewe.ni kichwa harafu ni amekaa TanRoads miaka ya kutosha kabla ya kwenda Kugombea Ubunge..Hongereni wana mbeya, mh kasekenya, mh Mwakibete pamoja na spika Tulia wanaupiga mwingi, huu ni wakati wenu asee.
Wataenda wapi? Ndio mnavyojidanganya na hao Vijana mashabiki wenu kwenye mikutano wanaokuja kwenye burudani na kuwashangaa?
Ila wanatakiwa kuwa fair sio mpka kiziwi na kipofu aone kabisa, Mwanza imebinywa kwa makusudi pia wajifunze kula na vipofu.Umemuona mwamba? Anazijua Barabara zote Tanzania,sio Kwa bahati mbaya yeye Mwenyewe.ni kichwa harafu ni amekaa TanRoads miaka ya kutosha kabla ya kwenda Kugombea Ubunge..
Huyu Jamaa Huwa hajibu maswali Kwa karatasi
Yaani jamaa anazungumzia barabara za kusini tu hovyo kabsaIla wanatakiwa kuwa fair sio mpka kiziwi na kipofu aone kabisa, Mwanza imebinywa kwa makusudi pia wajifunze kula na vipofu.
Wewe nae utupumxishe , Fair ipi unaitaka? Ndio shida ya kuzoea vya dezo,hii nayo iliwatesa watu wa Arusha awamu ya Mwendazake Kwa sababu mlizoea kudhulumuIla wanatakiwa kuwa fair sio mpka kiziwi na kipofu aone kabisa, Mwanza imebinywa kwa makusudi pia wajifunze kula na vipofu.
Acheni ubwege nyie,hakuna Mkoa ambao hauna mradi,ametaja Barabara zote Tanzania hii mtu unaropoka tuu..Yaani jamaa anazungumzia barabara za kusini tu hovyo kabsa