Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bora yenu mnakula mema ya nchi kipindi hiki lakini yote ni Tanzania me nafurahi, lakini nachukia kila kitu kujengwa dar na dodoma.
Wapumbavu ..watamwondoa Samia madarakani ... kwanZa mama simpi kura yangu ..Kwa mawaziri wa hovyo hivi ...
Bajeti Moja tu nimeipenda bajeti ya aweso ..Hawa wengine hovyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni roho mbaya,Kahama na Nzega na huko Kwa Mwendazake Barabara zinajengwa
Screenshot_20230522-123538_1.jpg
Screenshot_20230522-123322_1.jpg
 
A
Wapumbavu ..watamwondoa Samia madarakani ... kwanZa mama simpi kura yangu ..Kwa mawaziri wa hovyo hivi ...
Bajeti Moja tu nimeipenda bajeti ya aweso ..Hawa wengine hovyo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh Aweso ni waziri muungwana sana na hana roho ya husda na chuki kama wengine, kwa bajeti hii hakika kunaitaji huruma ya Mungu tu.
 
Kumbe ni ili mradi paonekane, basi asante sana.
Unajua kusoma? Hakuna sehemu walipoweka pesa nyingi zaidi ukiacha Dodoma,kote hi hizo hizo ndogo ndogo si unajua uchaguzi umekaribia lazima Kila sehemu waonekane Kuna mradi.
 
Unajua kusoma? Hakuna sehemu walipoweka pesa nyingi zaidi ukiacha Dodoma,kote hi hizo hizo ndogo ndogo si unajua uchaguzi umekaribia lazima Kila sehemu waonekane Kuna mradi.
Toka Lin bilioni 1 ikajenga lami km 10 ...au morum ...tubara bara twakudonoa donoa twanni.
Mradi mmoja tu nimeupenda EPC+F
hizo ni barabara za muhimu kiuchumi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie mngepewa 1.5bilion zikajenge kilometa 20 mngejifikiriaje? Hivi hii serikali inatuonaje asee.
Ni bil.2 zinajenga km 1.5 Kwa kuanzia..
Ona hapa Kuna bil.15 ila ni za kulipia Madeni ya Barabara za Toka awamu ya JK na danganya toto Kwa lugha za sijui kuanza Ujenzi,huu ni uongo,angalia idadi ya Barabara zinazoenda kulipa Madeni
Screenshot_20230522-124041_1.jpg
Screenshot_20230522-124524_1.jpg
 
Back
Top Bottom