ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,126
- 85,015
- Thread starter
- #16,361
Wapi Mwanza Airport? 🤣🤣
Huna hata aibu kuleta story za kufikirika 😁😁Endelea kutumia kitonga Cha wifi kujifariji
View attachment 2631692
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza endeleeni kuteseka 😃😃Hii bajeti si ya Tanzania bali ni Dar na dodoma ni bora watuambie kama Mwanza haitajiki kwenye hii nchi, huu ushenzi wa kujisifu mapato ya TRA na yanaenda kujenga mikoa yenu ambayo haichangii ni bora nisilipe kodi kabisaa, naomba Mwanza tuwe wa mwisho kwenye makusanyo kuliko huu ujinga wa hili liserikali la ajabu.
Hiyo ni pesa ya mgodi, hii serikali inachuma dhahabu za geita inaenda kujenga dual carriage za 320km huko dodoma.Hata Mimi nilikuwa na Barabara zangu ila Cha ajabu hakuna hata Moja imewekewa pesa za maana ni upuuzi wa usanifu miaka na miaka..
Hii Nchi ni ya ajabu sana Haina Vipaombele..
Ila nimeona Kahama to Geita wameweka hela,Nzega to Kagongwa wameweka hela pia.
Geita hiyo hapo inayoingiza bilion 700 kwa mwaka lakini hata barabara moja tu ya maana hakuna hili linchi la ovyo natamani kutukana lakin basi tu, kama hatutakiw basi waache kuchuma utajiri wetu na kujinufaishe wao na miji yao.Mimi mwenyew sipendi kurundika resources Dar pekee...nchi ina watu 60million...lakin zaidi ya nusu ya bajeti ya ujenzi ni dar pekee yenye watu 5million...
Ndo maana narudi kwenye hoja ya majimbo...au manispaa ziachwe zijiendeshe zenyew...
Ni uonevu kuchukua mapato kutoka mikoa yote na kuchukua nusu yake kufanya uwekezaji dar tu...
Imagine stendi ya bukoba ambayo ni kero ya muda mrefu kila mwaka wako wanasubiri mradi sijui tactic...mpaka imefikia hatu wanatumia billion 1 kujenga stendi ya muda...
Hizo pesa za tactic za world bank zimepigwa na sasa wanahaha kutafuta pesa za kuanza ujenzi nazan mwezi wa nane mpka wa tisa, hii nchi ngumu sana hii kaka.Mimi mwenyew sipendi kurundika resources Dar pekee...nchi ina watu 60million...lakin zaidi ya nusu ya bajeti ya ujenzi ni dar pekee yenye watu 5million...
Ndo maana narudi kwenye hoja ya majimbo...au manispaa ziachwe zijiendeshe zenyew...
Ni uonevu kuchukua mapato kutoka mikoa yote na kuchukua nusu yake kufanya uwekezaji dar tu...
Imagine stendi ya bukoba ambayo ni kero ya muda mrefu kila mwaka wako wanasubiri mradi sijui tactic...mpaka imefikia hatu wanatumia billion 1 kujenga stendi ya muda...
Japo pesa kiduchu zimetengwa ila walau wameanzaGeita hiyo hapo inayoingiza bilion 700 kwa mwaka lakini hata barabara moja tu ya maana hakuna hili linchi la ovyo natamani kutukana lakin basi tu, kama hatutakiw basi waache kuchuma utajiri wetu na kujinufaishe wao na miji yao.
Bado saana
Labda kama wamebadilisha matumizi au kupunguza kaziHizo pesa za tactic za world bank zimepigwa na sasa wanahaha kutafuta pesa za kuanza ujenzi nazan mwezi wa nane mpka wa tisa, hii nchi ngumu sana hii kaka.
Mnazitumia wenyewe hata hivyo,pesa za Halmashauri zinatumika na Halmashauri husikaHizo pesa tuwe tunazitumia wenyewe tu kuliko kuzipeleka kwenye domo la mamba
Hamna kitu hapo
Wakina mikdde wanajifariji kwa kajengo kwa muda wakati miradi ya mabilioni ya pesa ikipelekwa Kilimanjaro na dodomaWapi Mwanza Airport? 🤣🤣View attachment 2631518
Hakika hiki kipindi acha tule kwa macho, ni kama hii hawamu ilikuwa inatusubiria kwa hamu watukomoe kabisaMwanza kushney,Sasa ni zamu ya Lake Tanganyika View attachment 2631651
Pemba .Hivi huyo waziri wenu wa ujenzi na uchukuzi anatokea mkoa au ni mtu wa wapi? Nasemea mh Mbarawa.