Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Soon Kaz ya uzalishaji inaanza makambako tc
IMG-20230316-WA0027.jpg
 
Design ya majengo ya kikomunisti
Billion 18? Labda kuna majengo mengine...

Ngoja niexplore zaidi...maana sijaona hostel na madarasa...



Lakin location ya chuo ni nzr sana kuanzia hali ya hewa, mazingira na sio mbali na Bukoba mjini...
I see Bukoba ikipanuka zaidi kufikia huko
 
BUKOBA hiyo mitaa ya westlake, Miembeni na kaitaba Kwa mbali...


Ukweli usemwe Bukoba is so cool and beautiful and has beautiful neighbourhoods

Anyway sijui kwa nini watu wa Bukoba wanapenda Mapaa mekundu...au ni mipango miji....


Wap mbeya
Screenshot_20230514-113419.jpg
Screenshot_20230514-113551.jpg
Screenshot_20230514-113548.jpg
Screenshot_20230514-113554.jpg
Screenshot_20230514-113443.jpg
Screenshot_20230514-113652.jpg
Screenshot_20230514-113649.jpg
Screenshot_20230514-113731.jpg
Screenshot_20230514-113705.jpg
 
BUKOBA hiyo mitaa ya westlake, Miembeni na kaitaba Kwa mbali...


Ukweli usemwe Bukoba is so cool and beautiful and has beautiful neighbourhoods

Anyway sijui kwa nini watu wa Bukoba wanapenda Mapaa mekundu...au ni mipango miji....


Wap mbeyaView attachment 2621243View attachment 2621244View attachment 2621245View attachment 2621246View attachment 2621247View attachment 2621248View attachment 2621249View attachment 2621250View attachment 2621251
Mwanza waje kujifunza Bukoba kugawa uswahili na ushuani
 
Westlake Bukoba hotel Bukoba....

New hotel in Bukoba found in the beautiful neighbourhoods of miembeni....



Utawaskia haters wanaiponda Bukoba kisa tu haina stendi ya mabasi....as watu wanaishi kwenye stendi za mabasi
Screenshot_20230514-113520.jpg
Screenshot_20230514-113555~2.jpg
Screenshot_20230514-113741.jpg
Screenshot_20230514-113540.jpg
Screenshot_20230514-113551.jpg
Screenshot_20230514-113705.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230514-113447.jpg
    Screenshot_20230514-113447.jpg
    59.9 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230514-113731.jpg
    Screenshot_20230514-113731.jpg
    72.1 KB · Views: 7
Oh Bukoba hakuna stendi ya mabasi...oh watu wake maskini...nk...as watu wanaishi stendi ya mabasi


Makazi yao sasa...

NB. Report ya miaka nyuma kuhusu wilaya tajiri na maskini unaitaja Bukoba kama wilaya yenye watu wachache wenye umaskini wa kipato
Screenshot_20230514-113644.jpg
Screenshot_20230323-225040.jpg
Screenshot_20230410-160753.jpg
 
Meli.imejaa maparachichi na ndizi...hongereni sana watu wa Bukoba kwa kufanya kazi...
Screenshot_20230514-111907.jpg
Screenshot_20230514-112001.jpg
Screenshot_20230514-111853.jpg
 
Acha utani basi...huwezi linganisha mji wowote huko kusini na Bukoba kwa upande wa makazi....


Njombe kuna tatizo la kutu kwenye mabati...wapake rangi hayo mabati huoni Bukoba wanapaka rangi nyekundu...


Bakhita neighbourhoods Bukoba View attachment 2621368
[/QUOTEBukoba
Bukoba ni ya ngapi kwenye NBS statistics kwa makazi Bora?
 
Pakeni kwanza hizo nyumba rangi ndo tuongee vzr....mji hauna miti...nyumba zimechoka...yaan mnajisifia soko zuri na stendi nzr lakin mnalala kwenye nyumba zenye kutu!!...
Bora Bukoba watu wanakaa kwenye makazi bora...hizo stendi sijui soko wakiamua watajenga


Baadae tazama takwimu hapo chini
maxresdefault.jpg
Screenshot_20230410-160753.jpg
 
Back
Top Bottom