Njombe CBDaslimia 70 ni planned,Clean,abandunt.
Kwan Bukoba CBD sio planned?...what I know Downtown Bukoba iko well planned sehemu ambazo hazijawa planned ni maeneo ya huko vilimani...
Hiv njombe kila mtu anaweza park gari mbela ya nyumba yake? Au ndo kuwa na slums..sehemu zinafikika? Hilo kwa Bukoba iko mbali sana kuna mtandao mkubwa wa barabara za lami na bado zinazidi kuongezwa...kila sehemu inafikika.
I think usafi ni pamoja na kupaka nyumba rangi na mapaa kuwa mazr, njombe na miji ya kusini mnafeli pakubwa...
Vip kuhusu mfumo wa maji taka...hiv njombe kuna huo mfumo au mnatumia magari ya kufyonza?
BUKOBA ni moja ya miji michache nchini yenye mfumo wa maji taka haswa kwa CBD yake...
Vip kuhusu mito inayopita katika mji..je imejengewa kingo zake? Bukoba mito mingi imejengewa bado mmoja tu mkubwa utakaojengewa kwenye mradi wa tactic...
Vip.kuhusu recreation parks? Maeneo ya kujidai, kupumzika nk...hiv kuna hata moja huko njombe...
Bukoba mjini kuna parks mbili kubwa...uhuru park maarufu kama mayunga platform na inakarabatiwa upya, kuna pia Bukoba club na beach public zaidi ya 4...
Vip kuhusu sehemu za starehe nikimaanisha nighlife...nightclubs nk au ndo bado mko kwenye vilabu...
Vip kuhusu sports kwa watoto, michezo ya mpira...viwanja vya football, basketball, volleball nk...
Bukoba kuna viwanja vzr viwili vikubwa vya public yaan Kaitaba ambayo ina viwango vya FIFA na kashai..
Bila kusahau viwanja vya basketball vya public kashai, na zamzam
Ok turudi kwenye hoja STANDARD ZIP ZIKO NJOMBE