Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Walidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?
Mkandarasi wa kujenga flyover eti eh..au njia nne zenu kama za Sumbawanga .. yaani jiji Zima mnawaza njia nne kama sumbawanga wakati wenzenu sa hv plan ni ujenzi wa six lane with BRT km 80 musoma road na kenyata road

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?
We mpuuzi hapa ni Osterbay.imechanganyikana na slums.sasa ulivyokuwa unaiponda mwanza.kuwa mitaa yake imechanganyikana na slums..look at osterbay
JamiiForums1836384056.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkandarasi wa kujenga flyover eti eh..au njia nne zenu kama za Sumbawanga .. yaani jiji Zima mnawaza njia nne kama sumbawanga wakati wenzenu sa hv plan ni ujenzi wa six lane with BRT km 80 musoma road na kenyata road

Sent using Jamii Forums mobile app
Njia 4 ya Mwanza mnayo? Sio tuu njia 4 Bali njia 4 kama Sam Nujoma Road with brt lane at centre..

Sasa Hilo Jiji lenu la uswazi hizo brt mtajenga wapi Kila sehemu kumejaa uswazi?

Mwisho baada ya Dar,next to BRT ni Dom huko vichochoroni mtasubiri sana kwanza hakuna jam hapo Mwanza ni vile hamna Barabara
 
Njia 4 ya Mwanza mnayo? Sio tuu njia 4 Bali njia 4 kama Sam Nujoma Road with brt lane at centre..

Sasa Hilo Jiji lenu la uswazi hizo brt mtajenga wapi Kila sehemu kumejaa uswazi?

Mwisho baada ya Dar,next to BRT ni Dom huko vichochoroni mtasubiri sana kwanza hakuna jam hapo Mwanza ni vile hamna Barabara
Dodoma ndio Kuna jam sio ...una akili za kizamani sana.aliyekuambia miundombinu unajenga kisa una jam nani..
We hufai hata kuwa meneja wa TARURA wilaya...
Nyie ndio mmefanya dar kuwa backwards kwenye miundombinu Hadi magufuli alipoingia madarakani...
MWISHO: Huwa siongei bila reference........
kama mwanza hamna njia nne that's what I want you to remain knowing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dodoma ndio Kuna jam sio ...una akili za kizamani sana.aliyekuambia miundombinu unajenga kisa una jam nani..
We hufai hata kuwa meneja wa TARURA wilaya...
Nyie ndio mmefanya dar kuwa backwards kwenye miundombinu Hadi magufuli alipoingia madarakani...
MWISHO: Huwa siongei bila reference........
kama mwanza hamna njia nne that's what I want you to remain knowing

Sent using Jamii Forums mobile app
Dom ni Jiji la Serikali na Makao Makuu ya Nchi haipaswi kuwa na jam hata ya dkk Moja..

Huko kwingine hata mkiachwa hivyo hivyo sawa tuu na tutajenga kuliwa na jam na uhitaji wa lazima
 
Unatumia Nguvu sana kulazimisha,Mbeya Ina sifa ya Majiji yote ya Kisasa .Uswazi unatengwa na makazi ya watu wenye uwezo unlike Mwanza.
Hayo makazi ya wenye uwezo mbeya yako wapi ..
Yaani mbeya makazi yenu ya mabwanyenye ni nyumba za watu wa periurban mwanza,,mitaa ya watu wa kawaida..
New forest ikizidi buhongwa niite kufa kiume
JamiiForums-156269090.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo makazi ya wenye uwezo mbeya yako wapi ..
Yaani mbeya makazi yenu ya mabwanyenye ni nyumba za watu wa periurban mwanza,,mitaa ya watu wa kawaida..
New forest ikizidi buhongwa niite kufa kiume View attachment 2621083

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hivi vijumba ndio makazi Bora kwako? Forest Mpya na Iwambi kule kumejaa magorofa tuu hapa Yako wapi?
 
Kwa hiyo hivi vijumba ndio makazi Bora kwako? Forest Mpya na Iwambi kule kumejaa magorofa tuu hapa Yako wapi?
Hizo picha za iwambi ziko wapi .. peleka huko upuuzi.. nikikuletea porshy neighborhood za mwanza si utazimia Kwa wivu......hizo ni level Moja na masaki , osterbay,na njiro ..sio nzi za forest mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom