ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,112
- 85,007
- Thread starter
- #16,121
Walidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?
Walidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?
Mkandarasi wa kujenga flyover eti eh..au njia nne zenu kama za SumbawangaWalidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?


.. yaani jiji Zima mnawaza njia nne kama sumbawanga wakati wenzenu sa hv plan ni ujenzi wa six lane with BRT km 80 musoma road na kenyata road We mpuuzi hapa ni Osterbay.imechanganyikana na slums.sasa ulivyokuwa unaiponda mwanza.kuwa mitaa yake imechanganyikana na slums..look at osterbayWalidanganywaje? Mkandarasi ameumaliza ujenzi wa Kambi Iwambi na anaendelea na mobilisation maana ana miezi 3 ya mobilisation Sasa sijui wewe unaongea nini hasa?
Njia 4 ya Mwanza mnayo? Sio tuu njia 4 Bali njia 4 kama Sam Nujoma Road with brt lane at centre..Mkandarasi wa kujenga flyover eti eh..au njia nne zenu kama za Sumbawanga.. yaani jiji Zima mnawaza njia nne kama sumbawanga wakati wenzenu sa hv plan ni ujenzi wa six lane with BRT km 80 musoma road na kenyata road
Sent using Jamii Forums mobile app
Huoni mpaka? Sasa huko kushoto ndio slums ziko ila ingekuwa Mwanza hapo ingekuwa mtaa mmja slums plus wenye nafuu with no mitaa 😁😁We mpuuzi hapa ni Osterbay.imechanganyikana na slums.sasa ulivyokuwa unaiponda mwanza.kuwa mitaa yake imechanganyikana na slums..look at osterbay View attachment 2621071
Sent using Jamii Forums mobile app
Dodoma ndio Kuna jam sio ...una akili za kizamani sana.aliyekuambia miundombinu unajenga kisa una jam nani..Njia 4 ya Mwanza mnayo? Sio tuu njia 4 Bali njia 4 kama Sam Nujoma Road with brt lane at centre..
Sasa Hilo Jiji lenu la uswazi hizo brt mtajenga wapi Kila sehemu kumejaa uswazi?
Mwisho baada ya Dar,next to BRT ni Dom huko vichochoroni mtasubiri sana kwanza hakuna jam hapo Mwanza ni vile hamna Barabara
Dom ni Jiji la Serikali na Makao Makuu ya Nchi haipaswi kuwa na jam hata ya dkk Moja..Dodoma ndio Kuna jam sio ...una akili za kizamani sana.aliyekuambia miundombinu unajenga kisa una jam nani..
We hufai hata kuwa meneja wa TARURA wilaya...
Nyie ndio mmefanya dar kuwa backwards kwenye miundombinu Hadi magufuli alipoingia madarakani...
MWISHO: Huwa siongei bila reference........
kama mwanza hamna njia nne that's what I want you to remain knowing
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hapaHuoni mpaka? Sasa huko kushoto ndio slums ziko ila ingekuwa Mwanza hapo ingekuwa mtaa mmja slums plus wenye nafuu with no mitaa![]()







Unatumia Nguvu sana kulazimisha,Mbeya Ina sifa ya Majiji yote ya Kisasa .Uswazi unatengwa na makazi ya watu wenye uwezo unlike Mwanza.Kama hapa
Hili jiji au zizj...mji
Check hizi nzi ..
Jiji la nziView attachment 2621077View attachment 2621078View attachment 2621079
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo makazi ya wenye uwezo mbeya yako wapi ..Unatumia Nguvu sana kulazimisha,Mbeya Ina sifa ya Majiji yote ya Kisasa .Uswazi unatengwa na makazi ya watu wenye uwezo unlike Mwanza.



Second largest city na hub ya Africa mashariki haipaswi kuwa na miundombinu ya ajabu ..Dom ni Jiji la Serikali na Makao Makuu ya Nchi haipaswi kuwa na jam hata ya dkk Moja..
Huko kwingine hata mkiachwa hivyo hivyo sawa tuu na tutajenga kuliwa na jam na uhitaji wa lazima
Labda kama ni hub ya uswazi sawa 🤣🤣Second largest city na hub ya Africa mashariki haipaswi kuwa na miundombinu ya ajabu ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hivi vijumba ndio makazi Bora kwako? Forest Mpya na Iwambi kule kumejaa magorofa tuu hapa Yako wapi?Hayo makazi ya wenye uwezo mbeya yako wapi ..
Yaani mbeya makazi yenu ya mabwanyenye ni nyumba za watu wa periurban mwanza,,mitaa ya watu wa kawaida..
New forest ikizidi buhongwa niite kufa kiumeView attachment 2621083
Sent using Jamii Forums mobile app
Hub ya uswazi na hapaLabda kama ni hub ya uswazi sawa![]()




Hizo picha za iwambi ziko wapi .. peleka huko upuuzi.. nikikuletea porshy neighborhood za mwanza si utazimia Kwa wivu......hizo ni level Moja na masaki , osterbay,na njiro ..sio nzi za forest mpyaKwa hiyo hivi vijumba ndio makazi Bora kwako? Forest Mpya na Iwambi kule kumejaa magorofa tuu hapa Yako wapi?
Sirudii ziko nyingi sana humu nilizileta za kutoshaHizo picha za iwambi ziko wapi .. peleka huko upuuzi.. nikikuletea porshy neighborhood za mwanza si utazimia Kwa wivu......hizo ni level Moja na masaki , osterbay,na njiro ..sio nzi za forest mpya
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshakuonya ... iwambi na forest mpya haziwezi kufikia hata nusu yan suburbs za Peri urban Mwanza...Kwa hiyo hivi vijumba ndio makazi Bora kwako? Forest Mpya na Iwambi kule kumejaa magorofa tuu hapa Yako wapi?



Uwage na aibu basi yaani vijumba vya hovyo hivyo ndio unapost humu kweli?Nimeshakuonya ... iwambi na forest mpya haziwezi kufikia hata nusu yan suburbs za Peri urban Mwanza...
Buswelu
View attachment 2621092View attachment 2621094
Sent using Jamii Forums mobile app
Hvyo ndio size ya iwambi...hamna nyumba Kali zaidi ya hzoUwage na aibu basi yaani vijumba vya hovyo hivyo ndio unapost humu kweli?