ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,109
- 85,005
Inapatikana Njombe tu
Vyuma hata stendi haina dalili ya kujengwaVyuma poiruu kwenye mkeka kama Ulaya View attachment 2620602View attachment 2620603View attachment 2620604View attachment 2620605View attachment 2620606View attachment 2620607View attachment 2620608View attachment 2620609View attachment 2620610View attachment 2620611View attachment 2620612View attachment 2620613



Huku hata hamwezi kutugusa kabisaVyuma poiruu kwenye mkeka kama Ulaya View attachment 2620602View attachment 2620603View attachment 2620604View attachment 2620605View attachment 2620606View attachment 2620607View attachment 2620608View attachment 2620609View attachment 2620610View attachment 2620611View attachment 2620612View attachment 2620613

Wewe una shida mahala,Sasa Kasekenya na Stand wapi na wapi? Mbona kajibu vizuri kabisa?Vyuma hata stendi haina dalili ya kujengwaView attachment 2620756
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumechoka na huu ujinga,huko Kanda ya Ziwa Kampuni ni Katalama na Ally's pekee?Huku hata hamwezi kutugusa kabisaView attachment 2620757View attachment 2620758View attachment 2620759View attachment 2620760
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo zako ...usimfanye huyo naibu waziri ni kichaa na hajui miradi ya serikali inayopitishwa na baraza la mawaziri....Wewe una shida mahala,Sasa Kasekenya na Stand wapi na wapi? Mbona kajibu vizuri kabisa?
Mwisho ni kwamba mbunge aliyeuliza swali na mtoa majibu wote hawako aware Kwa sababu stand itajengwa via mradi wa Tactic tena na kwenye Bajeti miradi imetajwa..
Hiyo ndio shida ya kuwa na wabunge vilaza

Alys na katarama zinatosha kuzika basi zenu zote nyanda juuTumechoka na huu ujinga,huko Kanda ya Ziwa Kampuni ni Katalama na Ally's pekee?




Toa ujinga wako hapa,aliyekwambia kwamba Baraza la Mawaziri wanajadili specific projects za Halmashauri nani?Acha porojo zako ...usimfanye huyo naibu waziri ni kichaa na hajui miradi ya serikali inayopitishwa na baraza la mawaziri....
Mwisho.. mbunge ni mjumbe kwenye mabaraza ya madiwani yaliyo chini ya TAMISEMI anajua Kila kitu ..
Wakati wabunge wenu vilaza wakiendelea kuulizana stendi uchwara .
Wenzenu tunatelezaView attachment 2620772
Sent using Jamii Forums mobile app
Private medical center...Njombe -Makete Road View attachment 2620767
Dream houses plus mkeka 😁😁😁😁Alys na katarama zinatosha kuzika basi zenu zote nyanda juuView attachment 2620773View attachment 2620774
Sent using Jamii Forums mobile app
We ndio dumb to the highest... Miradi yote ya world bank ,,lazima baraza la mawaziri Liwe informed...Toa ujinga wako hapa,aliyekwambia kwamba Baraza la Mawaziri wanajadili specific projects za Halmashauri nani?
Kwa hiyo kati ya Kasekenya na Waziri wa Tamisemi na wewe tumuamini nani labda?
Narudia kukuambia hana majibu,Hilo.lingekuwa ni swali la msingi angeletewa majibu ila swali la Nyongeza linategemea uelewa wake..
Umewahi msikiliza Kasekenya akijibu maswali ya Wizara ya Ujenzi? Iwe la Msingi au la Nyongeza yote anajua Kwa sababu amekaa kabla ya kuwa mbunge alikuwa TanRoads Kila sehemu na Barabara anazifahamu,Sasa mambo ya Tamisemi atayajulia wapi?