ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,157
- 85,040
- Thread starter
- #15,781
Walau saizi mnapata VIP Kwa sababu Barabara zimeimarishwa na route nyingi ni fupi fupi ila sijawahi ona Mwanza -Tanga.
Na Shabiby unamuweka wapi ☻☻☻@
Kuwa na heshima na Kimbinyiko,hiyo ndio VIP ya kwanza route ya Dom ,hao wengine wote wamemkuta..
Big Sam
Kuna Shinyanga TangaWalau saizi mnapata VIP Kwa sababu Barabara zimeimarishwa na route nyingi ni fupi fupi ila sijawahi ona Mwanza -Tanga.
Kuna shinyanga Tanga.....hata hvyo hyo ruti ni low economic potential.... hamna Cha maana mwanza Ina trade na Tanga ....Walau saizi mnapata VIP Kwa sababu Barabara zimeimarishwa na route nyingi ni fupi fupi ila sijawahi ona Mwanza -Tanga.


Na Shabiby unamuweka wapi ☻☻☻
Tuseme wamemkuta, sasa imagine anatumia gari namba DCW as VIP na mwenzake ana ECH, DYS hata ww utapanda wapi ☻☻
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Na Shabiby unamuweka wapi ☻☻☻
Tuseme wamemkuta, sasa imagine anatumia gari namba DCW as VIP na mwenzake ana ECH, DYS hata ww utapanda wapi ☻☻
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Mwamba huyu hapa 👇Kuna shinyanga Tanga.....hata hvyo hyo ruti ni low economic potential.... hamna Cha maana mwanza Ina trade na Tanga ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Bus gani Hilo?
Moshi ndio mkoa Gani huko?Mikoa midogo kwa maeneo tanzania bara
View attachment 2601034
Tunasubiria Barabara ya Makongongolosi kwenda Tabora/Singida ifunguke hiyo itavutia VIP za kuzidi maana Ina mlima mmja tuu na Itapunguza umbali wa Kupitia MteraKuna shinyanga Tanga.....hata hvyo hyo ruti ni low economic potential.... hamna Cha maana mwanza Ina trade na Tanga ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyeti fake msamehe Bure 😀😀😀Moshi ndio mkoa Gani huko?
Hii picha nilipiga mm mwenyewe siku nimepanda hii gari wakati inapiga dar kilwa ☻Mwamba huyu hapa
Ndio Yale ambayo Wasukuma wanaingia na ndama,kondoo,mbuzi na michembe? 😁😁😁😁
Ndio maana ulipanda,angekuwa hovyo usingepanda 😁😁Hii picha nilipiga mm mwenyewe siku nimepanda hii gari wakati inapiga dar kilwa ☻
Ana umwamba gani sasa Swahili
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Mpanda Mwanza unapitia Tabora Nzega Tinde na Shinyangankanziga Unaonekana unayajua jua Mabasi..
Je Kuna Bus zuri la kutoka Mpanda -Mwanza via Kahama?
Kama hakuna Kuna Bus gani ziri VIP ya kutoka Mpanda Hadi Mwanza? Nitakuwa na safari ya Mwanza wiki ijayo.
Haya mabasi ya watu wa Kilimanjaro (ukoo wa Mberesero) ndugu zao na kina Kapricon, Kimotco, etcNdio Yale ambayo Wasukuma wanaingia na ndama,kondoo,mbuzi na michembe?![]()

Noted,nitaenda na Namba E,nauli bei gani?Mpanda Mwanza unapitia Tabora Nzega Tinde na Shinyanga
Panda Allys Star Bus EBU series
Panda Nyehunge DUB series
Haya ndo mazuri
Ila pia kuna NBS na Premier
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Gongowazi premier inakufaaa.Noted,nitaenda na Namba E,nauli bei gani?
Mpanda Mwanza unapitia Tabora Nzega Tinde na Shinyanga
Panda Allys Star Bus EBU series
Panda Nyehunge DUB series
Haya ndo mazuri
Ila pia kuna NBS na Premier
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Siwezi kupanda hayo matakataka Mimi Bora,niende Dom na Shabiby kutoka Tunduma nikapande Satco Hadi Mwanza.