ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,181
- 85,055
Vyako Vipya viko wapi? 😂😂Vibus vile vile Kila sikuView attachment 2601179View attachment 2601180View attachment 2601182
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba zile Mbeya ni VIPWewe nilishawahi kukuambia na narudia tena kwamba Mabasi yote yanayotoka Mbeya kwenda Mkoani ni VIP Class kuanzia Tanga Hadi Mwanza..
Lake Zone VIP mumeanza kupata mwaka,huko kote Mbeya ilishapita zamani..
Dom-Mbeya sio VIP tena Bali ni VVIP ya Shabiby


Mnaletewa mabasi namba A na namba D used mnasema new babies

Sio zote ila Miongoni mwao ni VIPKwamba zile Mbeya ni VIP
Ile gari ya Mbeya Moshi via Chalinze ni VIP?
Hizo Arusha Express na Hajis za Mbeya Arusha ni VIP
Kama n hvo basi you still have a way long to go
Hata mshukuru ABC na Shabiby kuwaletea gari zenye choo
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Watu wa Mbeya wakishangaa basi lenye choo halaf utasikia kwao VIP ni kawaidaView attachment 2601254
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Tanga VIP,Mnaletea mabasi namba A na namba D used mnasema new babies![]()
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Kama hadi Isamilo nazo ni VIP basi Mbeya Bado sana maana Isamilo hajawah leta gari mpya Mbeya Mwanza ni hadi zichoke kwanza kwenda Moshi na Dar from Mwanza ☻Sio zote ila Miongoni mwao ni VIP
Mbeya City Zhongtong Mega..... Sema siku hz kila mtu anajiandikia tu VIP ila ukiingia ndani siti nyembamba kama vigoda
Hii ni route dume kwake baada ya kushindwa kaingia mwamba Mbeya Express VIP 👇Kama hadi Isamilo nazo ni VIP basi Mbeya Bado sana maana Isamilo hajawah leta gari mpya Mbeya Mwanza ni hadi zichoke kwanza kwenda Moshi na Dar from Mwanza ☻
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Watu wa Mbeya wakishangaa basi lenye choo halaf utasikia kwao VIP ni kawaidaView attachment 2601254
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Acha uongo,Kali Kali 2 by 2 seaters sio sawa na AhmedMbeya City Zhongtong Mega..... Sema siku hz kila mtu anajiandikia tu VIP ila ukiingia ndani siti nyembamba kama vigoda
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Mbeya express na zile gari zake za kuchonga kenya ndo mnaziita VIP ambae nae alianzia dar mbeya akaona pa moto akaenda Mwanza pakamshinda na sasa karudi Dar nako anachechemeaHii ni route dume kwake baada ya kushindwa kaingia mwamba Mbeya Express VIP