Kwa mjibu wa sensa miji ya nyanda za juu kusini kwa kuangalia kata zilizopo mjini tu maana ndo zinatoa taswira ya mji miji yenye watu wengi ni 1 songea260000, 2sumbawanga 250000,3 tunduma219000 ,4 IRINGA202500 ,Tano ni makambako 135000,sitaVwawa+mlowo+ihanda+mahenje, 134000,Saba ni mbinga 130000,nane ni RUJEWA+ubaruku+Igawa 105000 Tisa ni mafinga 95000 kumi ni mbalizi 91500,na kumi na moja ni njombe tc Ina 91300 hapo baada ya kufanya uchambuzi wa kata zilizopo mjini tu ko miji mingi mikongwe tayar inaachwa na miji iliyo ibuka na hata ukienda eneo husika kwa nyanda za juu kusini huo ndo uhalisia kwa kupanga ni kama ifuatavyo 1 songea 2sumbawanga 3Tunduma 4iringa 5Makambako 6 vwawa 7 mbinga 8Rujewa 9mafinga 10 mbalizi 11 njombe



