ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,181
- 85,053
- Thread starter
- #15,721
Bora page nzima unapata full content kuliko ma screenshot shot yanakera.
Bora page nzima unapata full content kuliko ma screenshot shot yanakera.
Vibus vile vile Kila sikuAcha kulinganisha Mabasi Makali na hayo mapipa ya kutunzia gongo.View attachment 2601160View attachment 2601161View attachment 2601162View attachment 2601163View attachment 2601164View attachment 2601165View attachment 2601166View attachment 2601167View attachment 2601169View attachment 2601170
Wapi songwe hospitalBora page nzima unapata full content kuliko ma screenshot shot yanakera.


Ila kusema ukweli mna Mabasi mabaya khaa,walau Mabasi ya Dar -Mwanza ni mazuri ila huko Vijijini kwenu hamna kitu 😂😂Vibus vile vile Kila sikuView attachment 2601179View attachment 2601180View attachment 2601182
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bweni la shule 😁😁
bAEbu acha assumption zako ..zisizo na maana zozote ..... hivyo vicenter vya kupaki malori ndo unaviita miji ...Rudi darasani ukasome uraia ...hapa unajitiisha aibu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mwaka mna njaa nyie watu wa Lake zone..Kucheza na lake zone ni kucheza na moto..karibu geita karibu mkoaa wa rasilimali za taifaView attachment 2601190
Sent using Jamii Forums mobile app
mna VIP ya kwenda mkoa mwingine tofauti na dar ?....kama ipo post hapa nileft UziIla kusema ukweli mna Mabasi mabaya khaa,walau Mabasi ya Dar -Mwanza ni mazuri ila huko Vijijini kwenu hamna kitu![]()


only in mwanza Mkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.HAha unaangali Igawa tu hiyo mzee nenda na Barabara ya rujewa ubaruku ndo utaelewa tunachoongea sio unalala tu igawa
bA
Wewe nilishawahi kukuambia na narudia tena kwamba Mabasi yote yanayotoka Mbeya kwenda Mkoani ni VIP Class kuanzia Tanga Hadi Mwanza..mna VIP ya kwenda mkoa mwingine tofauti na dar ?....kama ipo post hapa nileft Uzi
VIP kigoma , dodoma, Arusha na Moshionly in mwanza
Raqeeb bussines class.. mwanza to Moshi
Loliondo coach bussines class.mwanza to Arusha
Aifola bussines class.mwanza to kigoma
Satco VIP class . mwanza to dodoma View attachment 2601194View attachment 2601195View attachment 2601196View attachment 2601197
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule kupo poa we nenda katembelee utanipa mrejeaho na saiz wamepeleka kampuni tatu za mabus kwenda darMkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.
Mwongo huyo .... hizo parking za malori zilizozungukwa na mabanda ya kutunzia mpunga na vichanja vya mapumba ndo anaita mji ...Hiv ukifika nzega , katoro utasemaje sasaMkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.
Kawadanganye shangazi zako ..........leta pichaWewe nilishawahi kukuambia na narudia tena kwamba Mabasi yote yanayotoka Mbeya kwenda Mkoani ni VIP Class kuanzia Tanga Hadi Mwanza..
Lake Zone VIP mumeanza kupata mwaka,huko kote Mbeya ilishapita zamani..
Dom-Mbeya sio VIP tena Bali ni VVIP ya Shabiby
Ni kama vile ukitoka pale Mahenje Hadi Old Vwawa au ukitoka Makambako Hadi Njombe au Inyala Hadi Songwe Airport au Ihanda Hadi Tunduma mbele kabisa huku Sumbawanga Road ,hizo sections ni conglomerations.KKu
Kule kupo poa we nenda katembelee utanipa mrejeaho na saiz wamepeleka kampuni tatu za mabus kwenda dar
Wivu na saiz Wana ground lao la ihefu paleMwongo huyo .... hizo parking za malori zilizozungukwa na mabanda ya kutunzia mpunga na vichanja vya mapumba ndo anaita mji ...Hiv ukifika nzega , katoro utasemaje sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Sahihi kabisaNi kama vile ukitoka pale Mahenje Hadi Old Vwawa au ukitoka Makambako Hadi Njombe au Inyala Hadi Songwe Airport au Ihanda Hadi Tunduma mbele kabisa huku Sumbawanga Road ,hizo sections ni conglomerations.