Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Vibus vile vile Kila siku
20230422_132944.jpg
20230422_150000.jpg
20230408_180737.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kusema ukweli mna Mabasi mabaya khaa,walau Mabasi ya Dar -Mwanza ni mazuri ila huko Vijijini kwenu hamna kitu
mna VIP ya kwenda mkoa mwingine tofauti na dar ?....kama ipo post hapa nileft Uzi
VIP kigoma , dodoma, Arusha na Moshi only in mwanza

Raqeeb bussines class.. mwanza to Moshi
Loliondo coach bussines class.mwanza to Arusha
Aifola bussines class.mwanza to kigoma
Satco VIP class . mwanza to dodoma
20230426_105402.jpg
20230425_231314.jpg
20230425_191905.jpg
20230423_091116.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAha unaangali Igawa tu hiyo mzee nenda na Barabara ya rujewa ubaruku ndo utaelewa tunachoongea sio unalala tu igawa

bA
Mkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.
 
mna VIP ya kwenda mkoa mwingine tofauti na dar ?....kama ipo post hapa nileft Uzi
VIP kigoma , dodoma, Arusha na Moshi only in mwanza

Raqeeb bussines class.. mwanza to Moshi
Loliondo coach bussines class.mwanza to Arusha
Aifola bussines class.mwanza to kigoma
Satco VIP class . mwanza to dodoma View attachment 2601194View attachment 2601195View attachment 2601196View attachment 2601197

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nilishawahi kukuambia na narudia tena kwamba Mabasi yote yanayotoka Mbeya kwenda Mkoani ni VIP Class kuanzia Tanga Hadi Mwanza..

Lake Zone VIP mumeanza kupata mwaka,huko kote Mbeya ilishapita zamani..

Dom-Mbeya sio VIP tena Bali ni VVIP ya Shabiby
 
KKu
Mkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.
Kule kupo poa we nenda katembelee utanipa mrejeaho na saiz wamepeleka kampuni tatu za mabus kwenda dar
 
Mkuu Leo umenifungua macho ,sikuwahi Fika Mbarali ila Kwa ulivyosimulia hapa kwamba Miji imeungana basi mwaka huu lazima niende nikafanye adventure kidogo.
Mwongo huyo .... hizo parking za malori zilizozungukwa na mabanda ya kutunzia mpunga na vichanja vya mapumba ndo anaita mji ...Hiv ukifika nzega , katoro utasemaje sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe nilishawahi kukuambia na narudia tena kwamba Mabasi yote yanayotoka Mbeya kwenda Mkoani ni VIP Class kuanzia Tanga Hadi Mwanza..

Lake Zone VIP mumeanza kupata mwaka,huko kote Mbeya ilishapita zamani..

Dom-Mbeya sio VIP tena Bali ni VVIP ya Shabiby
Kawadanganye shangazi zako ..........leta picha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KKu

Kule kupo poa we nenda katembelee utanipa mrejeaho na saiz wamepeleka kampuni tatu za mabus kwenda dar
Ni kama vile ukitoka pale Mahenje Hadi Old Vwawa au ukitoka Makambako Hadi Njombe au Inyala Hadi Songwe Airport au Ihanda Hadi Tunduma mbele kabisa huku Sumbawanga Road ,hizo sections ni conglomerations.
 
Back
Top Bottom