Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

FB_IMG_16823994612796091.jpg
FB_IMG_16822601514417422~2.jpg
 
Nimekaa Songea muda mrefu tu jamaa anachoongea ni kweli. Songea mji mkongwe lakini unazidiwa na Njombe. Mji ule umedumaa
Songea uliyokaa wewe ni ya mwaka gani? Hata Mimi nimekaa na kusoma Songea Kwa miaka 5,Kwa Sasa Mji uko vizuri na unakimbia Kwa kasi.

Njombe ipi ndugu yangu ya kuzidi Songea?
 
Mpaka ushasema neno mnazi wewe ni mnazi

Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Hapana boss sio mfuas sana wa magar but sometime huwa naona pale nyegez vijana wapiga yowe kushangilia mabas yenye speed,,,pale hawalali na maduka hayafungwi ni open usiku kucha one day nilikuwa katika mihangaiko yangu nikafka pale saa 9: usiku nakuta vijana wamechachawa wanasubiri mabas yanakuja kutoka dar je ni ipi inatangulia 😂😂😂
 
Songea uliyokaa wewe ni ya mwaka gani? Hata Mimi nimekaa na kusoma Songea Kwa miaka 5,Kwa Sasa Mji uko vizuri na unakimbia Kwa kasi.

Njombe ipi ndugu yangu ya kuzidi Songea?

Si zamani sana 2018-2022, mji ule ni mdogo na haujachangamka ukitembea kutoka pale NMB mpaka stendi ya zamani mji umeisha, sehemu za starehe ni chache kuna La chalz, nyuma yake kuna Lamori pamoja na Serengeti mji mzima. Kuna wakati nilikuwa nakuja mpaka Madaba. Ukiwauliza watu wa Madaba wana prefer zaidi kwenda Njombe kuliko Songea. Wanasema Njombe iko vizuri kwenye biashara wengine walikuwa wanaenda mpaka Makambako. Bei Makambako na Njombe zipo chini ukilinganisha na Songea na bidhaa nyingi zaidi zinapatikana sehemu hizo kuliko Songea.
Wenye maduka yao pale Madaba walikuwa wanaenda Njombe na Makambako kufanya manunuzi.
Hotel nzuri Njombe ni nyingi kuliko Songea.
 
Mji wa songea ni hovyo Kuna vijana wamelegea balaa,,halafu ujinga mwingine ni huu

1;;;Kijana kuvuta bangi ni fashion na Ili
aonekane mjanja lazima avute bangi

2;;majungu ni namba pamoja na wivu, hasa wanapenda mzawa na kushobokea kuliko mgeni na ndo Unaona malme wao superfeo but now SHABIBY ameamua kuwakomboa ila anapigwa zengwe nampa mwaka mmoja akidumu mnitag

3;;wazawa ni wavivu wa KAZI ad kufikiri ni wavivu labda ngono tu.

4;; biashara kutoboa ni ngumu mno just imagine boda anakbeba Kwa jero,,chipsi mayai ni buku aisee kitu ambacho at mbeya sio Sasa utatoboa kweli?

5;;;Wapambanaji wengi songea ni wakurya,sukuma na Waha pamoja na wakinga japo nao wengi wamekimbia majungu labda superfeo ndo kaacha magar yake na wanamwabudu bila yeye hawasafiri😂

6:;kama unataka uishi TU ukisubir kifo nenda songea chakula ni kingi mno utakula ila biashara no

Kiufupi songea ni hovyo sana usiende kutafta maisha
 
Si zamani sana 2018-2022, mji ule ni mdogo na haujachangamka ukitembea kutoka pale NMB mpaka stendi ya zamani mji umeisha, sehemu za starehe ni chache kuna La chalz, nyuma yake kuna Lamori pamoja na Serengeti mji mzima. Kuna wakati nilikuwa nakuja mpaka Madaba. Ukiwauliza watu wa Madaba wana prefer zaidi kwenda Njombe kuliko Songea. Wanasema Njombe iko vizuri kwenye biashara wengine walikuwa wanaenda mpaka Makambako. Bei Makambako na Njombe zipo chini ukilinganisha na Songea na bidhaa nyingi zaidi zinapatikana sehemu hizo kuliko Songea.
Wenye maduka yao pale Madaba walikuwa wanaenda Njombe na Makambako kufanya manunuzi.
Hotel nzuri Njombe ni nyingi kuliko Songea.
Kiukwel umeijulia Songea ila kwenye ukubwa Songea na Njombe Songea ni kubwa sema ishu iliyopo Songea Kasi ya ujenzi ni ndogo ,mzunguko WA pesa ni mdogo biashara ni za msimu hii inafanya bei za bidhaa kuwa juu ndo maana wafanyabiashara wengi wa madaba mzigo wanachukulia makambako na wapambanaji songea ni wachache Sana Yani ule mji wengi wamejikita kwenye kilimo haitofautian Sana na njombe
 
Si zamani sana 2018-2022, mji ule ni mdogo na haujachangamka ukitembea kutoka pale NMB mpaka stendi ya zamani mji umeisha, sehemu za starehe ni chache kuna La chalz, nyuma yake kuna Lamori pamoja na Serengeti mji mzima. Kuna wakati nilikuwa nakuja mpaka Madaba. Ukiwauliza watu wa Madaba wana prefer zaidi kwenda Njombe kuliko Songea. Wanasema Njombe iko vizuri kwenye biashara wengine walikuwa wanaenda mpaka Makambako. Bei Makambako na Njombe zipo chini ukilinganisha na Songea na bidhaa nyingi zaidi zinapatikana sehemu hizo kuliko Songea.
Wenye maduka yao pale Madaba walikuwa wanaenda Njombe na Makambako kufanya manunuzi.
Hotel nzuri Njombe ni nyingi kuliko Songea.
Madaba ni Kijiji jirani na Njombe huko ,ulitaka waende wapi?
 
Kiukwel umeijulia Songea ila kwenye ukubwa Songea na Njombe Songea ni kubwa sema ishu iliyopo Songea Kasi ya ujenzi ni ndogo ,mzunguko WA pesa ni mdogo biashara ni za msimu hii inafanya bei za bidhaa kuwa juu ndo maana wafanyabiashara wengi wa madaba mzigo wanachukulia makambako na wapambanaji songea ni wachache Sana Yani ule mji wengi wamejikita kwenye kilimo haitofautian Sana na njombe
Inaonekana unaijua Songea, kuna wengine wanabisha tu bila kuwa na fact. Kwa kweli Songea purchasing power ni ndogo sana. Watu wanafanya biashara kwa kujuana, ukiwa mgeni ukaanzisha biashara kupata wateja ni vigumu sana. Nafikiri ni kwa sababu wageni ni wachache
 
Back
Top Bottom