KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Mambo ndo haya
Kumbe zipo sita tu .. mwanza DomMbeya -Dom
1.Shabiby Line,
2.Kimbinyiko,
3.Ngasere High Class,
4.Magalaula,
5.MK Classic,
6.Swahili Travellers Coach
View attachment 2596024
Wale mliodai kutengwa mnaitwa huku.
Huwa naiona Satco tuu,hizo zingine ndio nazisikia kwako saiziKumbe zipo sita tu .. mwanza Dom
Satco VIP
nyehunge
Ally's
Bright line
Isamilo
Fikoshi
Sabco
View attachment 2596096
Sent using Jamii Forums mobile app
MK nayo kumbe mnahesabiaMbeya -Dom
1.Shabiby Line,
2.Kimbinyiko,
3.Ngasere High Class,
4.Magalaula,
5.MK Classic,
6.Swahili Travellers Coach
View attachment 2596024

Na kuna Bonge DEE ex EstherKumbe zipo sita tu .. mwanza Dom
Satco VIP
nyehunge
Ally's
Bright line
Isamilo
Fikoshi
Sabco
View attachment 2596096
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwani hua haitendi japo Jamaa sijui hata kama ana Mabasi 2 😂😂
Anayo moja na sidhani kama bado inaenda sina uhakika sanaSasa kwani hua haitendi japo Jamaa sijui hata kama ana Mabasi 2![]()
Watuunganishia na barabara ya kutoka Kolandoto hadi Meatu au ya Maswa Meatu kwa lami ☻Meatu tumefikiwaView attachment 2596109
Watuunganishia na barabara ya kutoka Kolandoto hadi Meatu au ya Maswa Meatu kwa lami ☻
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Sina uhakika maana last time nimepita sikuona mkandarasi wala mtu yyt barabaraniKuna mjumbe alisema inajengwa na wakandaras wapo site au alichanganya
Bas ipo kweny mpango maana niliona hum jf sunk alipost sheet ilikuwa na orodha ya Mirad na meatu ilikuwemoSina uhakika maana last time nimepita sikuona mkandarasi wala mtu yyt barabarani
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Waitengeneze tu maana ni shortcut moja nzuri sana kwenda Arusha na SingidaBas ipo kweny mpango maana niliona hum jf sunk alipost sheet ilikuwa na orodha ya Mirad na meatu ilikuwemo