Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Update daraja la taifa . asilimia 71Mwanza hamtakaa mpate Huduma kama hizi
View attachment 2597313View attachment 2597314View attachment 2597315
Sent using Jamii Forums mobile app
Update daraja la taifa . asilimia 71Mwanza hamtakaa mpate Huduma kama hizi
View attachment 2597313View attachment 2597314View attachment 2597315
Mtatibiwa hapo hapo kwenye daraja la Taifa 😂😂Update daraja la taifa . asilimia 71View attachment 2597404View attachment 2597405View attachment 2597407
Sent using Jamii Forums mobile app
Narudia kusini hamna miji Kuna vichaka ambavyo vina safari ndefu kuifikia bukobaMaumivu yamefika kunako![]()
Stuka tuko 2023 toa upuuzi wako hapa uko outdated.Narudia kusini hamna miji Kuna vichaka ambavyo vina safari ndefu kuifikia bukoba View attachment 2597472View attachment 2597473View attachment 2597474
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Angejua kwa miji ya nyanda za juu kusini wameizidi mafinga tc tuStuka tuko 2023 toa upuuzi wako hapa uko outdated.
Bwege huna akili maeneo hayajabadilika, tafuta population density ya 2022 ya huko vichakani ulinganishe na ya bukobaStuka tuko 2023 toa upuuzi wako hapa uko outdated.
A
Angejua kwa miji ya nyanda za juu kusini wameizidi mafinga tc tu

Kusini hamna aibu mnachukua mapori mnaita miji Acha kutafuta Chaka la kufichamia mzee angalia makambako na tunduma tc hizo full town bado Kuna iringa McIla kusini mna matatizo mapori eti ndo miji, imagine Bukoba manispaa unganisha na bukoba rural bado haziingii kwa njombe mji. View attachment 2597518View attachment 2597519View attachment 2597521
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Yan umenifanya niifatilie vizuri bukoba Yani ukichukua bukobaMc jumlisha bukoba dc hamwezi kuzifikia hata tarafa nne zilizopo makambako zone kwa ukubwa na zipo well organised na ukuaji wake ni wakasi Sana zaidi ya nusu ya population ya mkoa wa njombe ipo hapo
Mbona area ya dodoma huja sema ,bado ya kahama mc Kuna halmashauri nyingi Zina maeneo makubwa ila ya kwanza ni njombe tc sema njombe tc wanavogawa walichukua Jimbo Zima la njombe kusini lililokuwa linaongozwa na Anna makinda alafu yakabaki majimbo ya njombe magharibi na njombe kaskazini haya majimbo ya njombe Kaskazini na njombe magharibi ukiyajumuisha pamoja ndo unapata area njombe tc ambayo kwa Sasa wamegawa halmashauri tatu wangingombe ,njombe dc alimaarufu lupembe na makambako na bado Kuna km za mraba zime chukuliwa na pori la akiba mpanga kipengere ko wanaeneo ambalo ni dogo kulinganisha na njombe tc hii zone ya makambako tc ila ndo nyumba Zina tapakaa tofauti na zone ya njombe mashamba ni mengi pia makete na ludewa milima na miti imetawala na ndiko Kuna eneo kubwa la mkoa HiYo ni historia fupi tuIla kusini mna matatizo mapori eti ndo miji, imagine Bukoba manispaa unganisha na bukoba rural bado haziingii kwa njombe mji. View attachment 2597518View attachment 2597519View attachment 2597521
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Well organized labda ya vichaka, ukianzia muleba to bukoba (km 80) then bukoba to mtukula (km 80) ni makazi tu tena ya maana lakini hatulingiYan umenifanya niifatilie vizuri bukoba Yani ukichukua bukobaMc jumlisha bukoba dc hamwezi kuzifikia hata tarafa nne zilizopo makambako zone kwa ukubwa na zipo well organised na ukuaji wake ni wakasi Sana zaidi ya nusu ya population ya mkoa wa njombe ipo hapoView attachment 2597609
Iringa Mc nayo ndo yale yale eneo kubwa alafu mnaringa eti miji ina watu wengi ni Sawa tungeunganisha bukoba Mc na dc alafu tuite ni mji mmoja.A
Acha kutafuta Chaka la kufichamia mzee angalia makambako na tunduma tc hizo full town bado Kuna iringa Mc
Well organized labda ya vichaka, ukianzia muleba to bukoba (km 80) then bukoba to mtukula (km 80) ni makazi tu tena ya maana lakini hatulingi
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile ap![]()
Narudia Tena eneo hili kamwe bukoba Yako hawezi kuja kulizidi tuna chukulia centre ya makambako kutoka makambako hadi wangama mtwango km30 makambako hadi ilembula km 30 ,makambako igwachanya km42 makambako saja km 20 a hizo kupitia main road za songea road ,mbeya road na iringa road full makaziWell organized labda ya vichaka, ukianzia muleba to bukoba (km 80) then bukoba to mtukula (km 80) ni makazi tu tena ya maana lakini hatulingi
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Unahangaika kahama mc yenyewe imewakalisha mara Ohio ikitoka mwanza bukoba inafuata kumbe Kanda ya ziwa ndo wa mwisho

We wa ajabu kweli kahama nayo ni kama huko kusini wamechukua eneo kubwa kuongeza idadi ya watu ila population density kwa bukoba ni hovyo, miji gani mmejaza vichaka. Bukoba ikiongeza eneo liwe kubwa kama miji yenu hiyo hakuna wa kusogelea. Kuna kata nyingi ziko bukoba dc zimeungana na bukoba Mc Hizo report za per capita hazitusumbui maana inafahamika kwamba per capita huwa ina favor eneo lenye idadi ndogo ya watuWe una chuki tu huna lolot
Bukoba ilishajaa kitambo...sasa Bukoba vijijini ndo imeanza kumezwa...si kwa hii population density aiseeNarudia kusini hamna miji Kuna vichaka ambavyo vina safari ndefu kuifikia bukoba View attachment 2597472View attachment 2597473View attachment 2597474
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app