Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Endelea kuzisikiaHuwa naiona Satco tuu,hizo zingine ndio nazisikia kwako saizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuzisikiaHuwa naiona Satco tuu,hizo zingine ndio nazisikia kwako saizi
Kuwa na heshima,Mbeya haiko kundi Moja na Vijiji kama Bukoba..Wap mitaa ya mbeya...
Kasarani Bukoba....View attachment 2596490View attachment 2596491View attachment 2596492View attachment 2596493
Jf haitakiwi kuonana,unataka uniumbue 😁😁😁😁Sunk kama upo mikoa ya kusini tuonane Mzee tubadilishane mawazo soon nitakuwa mbeya mjn hapo
Kuwa na heshima,Mbeya haiko kundi Moja na Vijiji kama Bukoba..
Songea tuu imewachapa Mbali snaa.
Ni Manispaa na rio dw Janeiro Kwa mujibu wa nyumbu wa Kagera 😆😆Bukoba sio kijiji mkuu ni manispaa hiyo a.k.a ni little Rio de Janeiro
Mbeya imepigwa na nyamaganaKitombile instanbul
Kama Mji wako hauko kwenye hii list hapa ujue uko Kijijini kwenu Ile List ya Vijiji
![]()
Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania
Matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 imekuja na taswira tofauti ya Ukubwa wa Miji Kwa idadi ya Watu. Kwa Mujibu wa Matokeo hayo,Tanzania Ina Miji 25 Mikubwa yenye Wakaazi/Watu kuanzia 180,000 Hadi zaidi ya Mil.5,300,000.. Mpangaji wa Miji utafuata mtiririko wa idadi ya watu Kwa...www.jamiiforums.com



Kwenye List umeniona wapi Nyamagana?
Hyo si umetengeneza wew Kwa preference zako ..Kwenye List umeniona wapi Nyamagana?
Dar City ndio wapi? Wewe ukisema unaenda Dar Huwa unaenda Dar City ipi?Hyo si umetengeneza wew Kwa preference zako ..
Ukipanga based on councils
1 Dar city
2 dodoma
3 Arusha
4 nyamagana ( mwanza cc)
5.mbeya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe ilala ni wapiDar City ndio wapi? Wewe ukisema unaenda Dar Huwa unaenda Dar City ipi?
Sijui tukuulize wewe mwenye Dar City Yako,Temeke,Kinondoni,Ubungo nk
Hiyo miji ya kusini asilimia kubwa kata zipo vijijini zimejaa mapori hata huduma za kijamii ni sifuriKitombile instanbul
Kama Mji wako hauko kwenye hii list hapa ujue uko Kijijini kwenu Ile List ya Vijiji
![]()
Hii hapa ndio Miji 25 yenye watu wengi Tanzania
Matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 imekuja na taswira tofauti ya Ukubwa wa Miji Kwa idadi ya Watu. Kwa Mujibu wa Matokeo hayo,Tanzania Ina Miji 25 Mikubwa yenye Wakaazi/Watu kuanzia 180,000 Hadi zaidi ya Mil.5,300,000.. Mpangaji wa Miji utafuata mtiririko wa idadi ya watu Kwa...www.jamiiforums.com
Maumivu yamefika kunako 😁😁😁😁Hiyo miji ya kusini asilimia kubwa kata zipo vijijini zimejaa mapori hata huduma za kijamii ni sifuri
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app