Tupia matokeo ya sensa mkoa wa njombe na iringa
Haya hapa 👇Tupia matokeo ya sensa mkoa wa njombe na iringa
Wangingombe ipo moto maana hii eneo lake Lina ukubwa sawa na njombe tc halmashauri yenye eneo dogo ni makambako tc
Respect Kwa kahama aisee 💪💪Tupia matokeo ya sensa mkoa wa njombe na iringa
Yaani Kahama Ina watu zaidi ya 450k lakini inatolewa makamasi na Njombe yenye watu 180k?
Watu wa Kahama mna kazi ya kufanya huo Mji wenu ni hovyo sana.View attachment 2590528
Kwa wakazi/population hii ya more than 180,000 Ni rasmi Mji wa Njombe umekidhi vigezo vya kuwa Manispaa.View attachment 2590532
Tunasubiria kutangazwa tuu Kwa Sasa.
Pia Kanda ya ziwa mji unapangwa sana na serikali ni BARIADI, yaan huu mji serikali inamwaga Hela Kwa lengo la kuupanga nazan Ina future naoKwenye list ya miji 25 shinyanga haipo lakini population 214744
Ipo kasome vizuriKwenye list ya miji 25 shinyanga haipo lakini population 214744
Kuna mtu alikuwa anapromote sana IRINGA,mwambie aamke kumekuchaVigezo vya manispaa ni watu kuanzia 100000 naona halmashauri nyingi za miji zime kidhi kigezo hicho labda waangalie mapato
Bukoba sijaionaKuna mtu alikuwa anapromote sana IRINGA,mwambie aamke kumekucha
Iringa asee bado ndogo ingawa kimiundombinu ipo vizur hata ongezeko la watu ni dogo Sana imagine 2012 waliongezea eneo ikawa na watu 157000 , 2022 Ina 202000 ongezeko ni kama watu45000 kwa miaka 10 itachukua Muda kuwa jiji wakifuata vigezo halali vya jiji ambapo ni watu 500000Kuna mtu alikuwa anapromote sana IRINGA,mwambie aamke kumekucha
Kahama at huku Kanda ya ziwa tunainyooshea mikono boss sema Barabara zake nyembamba,pia Kuna mji unaitwa katoro huu ni mji TU lakin usipime at iringa haiingiiIringa asee bado ndogo ingawa kimiundombinu ipo vizur hata ongezeko la watu ni dogo Sana imagine 2012 waliongezea eneo ikawa na watu 157000 , 2022 Ina 202000 ongezeko ni kama watu45000 kwa miaka 10 itachukua Muda kuwa jiji wakifuata vigezo halali vya jiji ambapo ni watu 500000
Bukoba ni Kijiji hata usihangaike.Bukoba sijaiona
Ukipitia takwimu saiz miji mingi imekuwa ishu ni miundombinu inahitaji kuboreshwa iendane na population na hii itatokana na juhudi za halmashauri husikaKahama at huku Kanda ya ziwa tunainyooshea mikono boss sema Barabara zake nyembamba,pia Kuna mji unaitwa katoro huu ni mji TU lakin usipime at iringa haiingii
Katoro 92,192 +Nyamigota 32,372 + Ludete 106,768 +Buseresere,456 +Butengo Rumasa 22,283 = 307,071. Hizi kata huwezi zitofautisha kwani Zimeungana kimakazi.
Wangekuwa wanaboresha kulingana na mji wanatoa Mirad inakidhi lakin now wanapanga watakavyo na wanaegemea sana dar na dodoma wanasahau at wengine kod wanalipa aisee,,N
Ukipitia takwimu saiz miji mingi imekuwa ishu ni miundombinu inahitaji kuboreshwa iendane na population na hii itatokana na juhudi za halmashauri husika