ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,218
- 85,098
- Thread starter
- #15,421
Wewe siku hizi umeshakuwa mbuzi ,akili huna kabisa..
Unaacha kuifungua tweet usome habari ya the citizen unauliza mambo ya kijinga.
Wewe siku hizi umeshakuwa mbuzi ,akili huna kabisa..
Acha kufananisha nyanzaga na hizo pesa za mbogaKale kamgodi ka dhahabu sengerema ni ka bei gani?
Tanzania inaenda kushindana na China kwenye soko la Madini ya rare Earth Duniani,bil.700 kumwagwa Mbeya.
convert hyo kwenye pesa za madafu
Nani ana muda wa kufungua huo upupu wako ....kama huwezi kuexpose post yako iwe clear ...Baki na hivyo hvyoWewe siku hizi umeshakuwa mbuzi ,akili huna kabisa..
Unaacha kuifungua tweet usome habari ya the citizen unauliza mambo ya kijinga.
Tofauti ni Bil.300 tuu hapoAcha kufananisha nyanzaga na hizo pesa za mbogaconvert hyo kwenye pesa za madafuView attachment 2589114
Sent using Jamii Forums mobile app
Mgodi hauko Mbeya ,uko Mwanza 😁😁Nani ana muda wa kufungua huo upupu wako ....kama huwezi kuexpose post yako iwe clear ...Baki na hivyo hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hauko Tarura ,taarifa rasmi ya Serikali ni hizo ilizotaja,Mbeya ni km 24.8 sio km 25,Mwanza jumla ni km 29.7 na sio vinginevyo.Barabara ya kishiri buhongwa ni km 14
barabara ya busenga -buswelu km 3.5
barabara ya nyamhongolo -buswelu km 9.5
barabara za kuzungukw soko la buswelu km 3 ...
Jumlisha hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Imeshindwa kutukanyaga mwaka huu ,,watalii walikuwa wengi atawezea wapi mwakani..wakati miradi ya kimkakati itakuwa imekamilika mwanzaMgodi hauko Mbeya ,uko Mwanza
Ndio maana Arusha itawakanyaga kwenye mapato 203/24
Usisahau Mbeya tuna Madini ya kipekee sana Yako mbioni kufanyiwa expansio..
Ko wew ulipata ngapi mathematics...29.7 kwenye round up inakuwaje ...Wewe hauko Tarura ,taarifa rasmi ya Serikali ni hizo ilizotaja,Mbeya ni km 24.8 sio km 25,Mwanza jumla ni km 29.7 na sio vinginevyo.
Soma hapa hii projection ya 2023/24 ndio Utajua hujui.Imeshindwa kutukanyaga mwaka huu ,,watalii walikuwa wengi atawezea wapi mwakani..wakati miradi ya kimkakati itakuwa imekamilika mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo less demanded minerals zinawasaidia nini ...Usisahau Mbeya tuna Madini ya kipekee sana Yako mbioni kufanyiwa expansio..
Unajua Neobium wewe? Unajua Madini ya Natura Carbon dioxide?
Barabara hazina hicho unacholazimisha kiwe.Ko wew ulipata ngapi mathematics...29.7 kwenye round up inakuwaje ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli mwanakijiji,less demanded are you serious? Unakijua unachokiongea?
Kwamba hyo barabara ya mugumu to Serengeti hujaiona ...hiyo ya karatu Hadi maswa huioni.Kama haupo kwenye hii list hapa tupishe.
Rukwa tuna km 179 ya kutoka Ntendo Hadi Kilyamatundu/ Songwe Border na pia tuna Matai-Kasesya Border/Zambia border km 50 zote zinatandikwa lami na kazi inaendelea.
View attachment 2589137
Mtag yule aliyekuwa anaongea kuhusu Dom,mwambie Kuna km 76 ziko kwenye ujenzi hapo kule Kwa KibajajiKwamba hyo barabara ya mugumu to Serengeti hujaiona ...hiyo ya karatu Hadi maswa huioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Multi billions project on going.hamshindwi kusema hii picha ni MassachusettsMtag yule aliyekuwa anaongea kuhusu Dom,mwambie Kuna km 76 ziko kwenye ujenzi hapo kule Kwa Kibajaji