Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Masoko ni haya
Screenshot_20230414-213032~2.jpg
 
Waziri wa Nishati, January Makamba leo amewasil
FB_IMG_16815728479047103.jpg
isha Bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2022/2023 ambapo amesema "Serikali kupitia TPDC imepanga kutekeleza mradi wa ujenzi wa vituo vya kujazia Gesi asilia kwenye Magari katika Bohari Kuu za mafuta za Serikali za Dar es Salaam na Dodoma"

"Lengo ni kuwezesha magari mengi zaidi ya Serikali na watu binafsi kutumia gesi asilia inayozalishwa nchini badala ya Mafuta"

"Serikali kupitia TPDC inayo maeneo kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya uhifadhi mafuta (tank farms) katika maeneo ya kimkakati nchini ili kurahisisha usambazaji wa mafuta kwa nyakati zote, maeneo hayo yapo Kigamboni (Dar es Salaam), Chongoleani (Tanga), Zuzu (Dodoma), Isaka (Shinyanga), Makambako (Njombe), Kibirizi (Kigoma) na Mpanda (Katavi)"
#MillardAyoBUNGENI
 
Kale kamgodi ka dhahabu sengerema ni ka bei gani?

Tanzania inaenda kushindana na China kwenye soko la Madini ya rare Earth Duniani,bil.700 kumwagwa Mbeya.
 
Back
Top Bottom