Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Wale mliodanganywa mnaitwa huku
View attachment 2585124
20230408_113712.jpg
20230411_122930.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza na Kahama mpo?

Tactic Mbeya

-Km 24.8 za lami za mtaani
-Stand kubwa 1,
-Kituo Kidogo Cha daladala 1
-Masoko 3,
-Mifereji ya maji km6.5

On top of that Kuna km 5 za lami za TanRoads,km 4 za Tarura na Kuna Barabara ya Njia 4 tena Zenye walk ways..

Kwa miradi hiyo sura ya Jiji la Mbeya inaenda kubadilika sana,
By 2025 Jiji kitakuwa zuri sana tofauti na hapo awali.
Screenshot_20230414-132848.jpg
 

HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO​

Toggle navigation

Kituo kikubwa cha ukaguzi wa magari kujengwa katika Halmashauri ya Mji Makambako​

thumb_1387_800x420_0_0_auto.jpg
Tarehe Iliyowekwa: August 11th, 2022
Na. Lina Sanga
Kituo kikubwa cha ukaguzi wa magari kinatarajiwa kujengwa katika Halmashauri ya Mji Makambako,kitachotumika kufanya ukaguzi wa magari yote yanayoelekea mbeya na Songea.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi,Mhe. Makame Mbalawa alipokuwa akitoa salamu kwa wakazi wa Halmashauri ya Mji Makambako leo,waliofika kumsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Mhe. Mbalawa amesema kuwa eneo la ujenzi wa kituo hicho lenye ukubwa wa hekta 200 limechukuliwa na jumla ya mil. 870 zimelipwa fidia kwa wamiliki wa maeneo hayo na mil. 2.9 Wizara inajipanga kuwalipa wamiliki walio baki.
Ametoa wito kwa wamiliki wa maeneo hayo ambayo yamechukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa kituo hicho,wanaostahili kulipwa fidia kwa mujibu wa sheria watalipwa kwani fedha zao zipo hawatadhulumiwa.
Ameongeza kuwa jumla jumla ya bil. 2.2 zimetolewa kwa ajili ya matengenezo ya barabara za mjini na Serikali itaendelea kuleta fedha hizo kadri inavyowezekana ili Mji wa Makambako uondokane na Vumbi kwa kujenga barabara za lami.

Video​


TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Tuitumie kwa Usahihi na Uwajibikaji . Makambako TC, 2021​

Video zaidi

Kurasa za Karibu​

Tovuti Mashuhuri​

Wasomaji mbalimbali duniani​

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji​

free HitCounter


Ramani ya Eneo​


Wasiliana nasi​

  • Makambako Town Council
    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako
    Simu ya mezani: 026-2730044
    Simu ya Kiganjani: 0785635383
    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz
Mawasiliano Mengine




Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa
Google Translate

Original text​


Contribute a better translation

 
Ni mwendo wa miradi makambako tc
HALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA MJI WA MAKAMBAKO​

Toggle navigation

Wananchi 18 eneo la soko la kimataifa Makambako,kufanyiwa uthamini kwa ajili ya malipo ya fidia.​

thumb_1492_800x420_0_0_auto.jpg
Tarehe Iliyowekwa: January 5th, 2023
Na. Lina Sanga
Njombe

Tamko hilo limetolewa leo na Waziri wa Uwekezaji,Biashara na Viwanda, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji katika mkutano wa saba wa baraza la biashara, Mkoa wa Njombe lililofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Njombe , na kuwakutanisha wafanyabiashara wote wa Mkoa wa Njombe ili kusikiliza na kujadili changamoto mbalimbali wanazokabiliana nazo.
Mhe. Kijaji amesema kuwa Wananchi hao ambao hawakufanyiwa uthamini wa maeneo yao wakati wa uthaminishaji wa awali na kushindwa kulipwa fidia ya maeneo yao , Wizara imeanza kufanyia kazi suala hilo ili kumalizana na wananchi hao , ili pindi wadau wa kujenga soko hilo watakapo patikana ujenzi uanze mara moja bila kikwazo chochote.
Amesema kuwa endapo ujenzi wa soko hilo la Kimataifa na bandari kavu katika Halmashauri ya Mji Makambako ukikamilika,utasaidia kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa katika Mkoa wa Njombe na wananchi wataweza kunufaika na kujipatia maendeleo.
Ametoa wito kwa Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya nchini kusimamia Sekta binafsi katika maeneo yao na kuzilea ili zikue na kutokuwa kikwazo katika ukuaji wa Sekta hizo ili kuunga mkono juhudi za Mhe. Samia Suluhu Hassan kwani Sekta binafsi ndizo zimebeba uchumi wa taifa.

Video​


TEHAMA ni Msingi wa Taifa Endelevu, Tuitumie kwa Usahihi na Uwajibikaji . Makambako TC, 2021​

Video zaidi

Kurasa za Karibu​

Tovuti Mashuhuri​

Wasomaji mbalimbali duniani​

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji​

free HitCounter


Ramani ya Eneo​


Wasiliana nasi​

  • Makambako Town Council
    Anuani ya Posta: P.O.BOX 405 Makambako
    Simu ya mezani: 026-2730044
    Simu ya Kiganjani: 0785635383
    Barua pepe: td@makambakotc.go.tz
Mawasiliano Mengine




Haki miliki ©2017 Halmashauri ya Mji Makambako. Haki zote zimehifadhiwa
Google Translate

Original text​


Contribute a better translation

 
Back
Top Bottom