Hiyo ni moja ya sapoti mzee ya tanroad kuboresha mtaan wao Kuna eneo tayar ambalo bandari kavu inajengwaKumbe ukijengewa 5km tyr inakuwa ni logistic centre
Hiyo ni moja ya sapoti mzee ya tanroad kuboresha mtaan wao Kuna eneo tayar ambalo bandari kavu inajengwaKumbe ukijengewa 5km tyr inakuwa ni logistic centre
Bandari kavu ya kusafirisha na kupakua mizigo gani?Hiyo ni moja ya sapoti mzee ya tanroad kuboresha mtaan wao Kuna eneo tayar ambalo bandari kavu inajengwa
Nimesema mnioneshe kiwanda Cha Magodoro na sabuni huko Mwanza Bado mnapiga porojo tuu..Unajichekesha lakini moyoni unaumia, lakini vumilia ndio ukubwa wa jiji lenyewe lenye vina saba vya Las Vegas.
Magodoro ya Blanco yanatengenezwa njombe?Nimesema mnioneshe kiwanda Cha Magodoro na sabuni huko Mwanza Bado mnapiga porojo tuu..
Mbeya 👇View attachment 2583219
Ukipigwa unatafuta mabasi kujifariji mjinga sana wewe😂😂😂😂
Mbeya City .Ukipigwa unatafuta mabasi kujifariji mjinga sana wewe😂😂😂😂
Hii ndio cbd yenu😂😂😂, kumbe Buzuruga ipo mbali sana.
Mji ukiwa karibu tu Dar, tayari huo mji ni bora na mzuri automatically au sio, kama hujui hasara ya kuwa karibu na Dar muulize, Tanga na miji ya karibu na Dar.Kahama kwenye lile joto?hapana kwakwel bora njombe sio mbali kutoka dar pia njombe hali ya hewa ni nzuri
Nani kasema ni CBD? Hapo si ni Kabwe au?Hii ndio cbd yenu😂😂😂, kumbe Buzuruga ipo mbali sana.
Leta cbd sasa?Nani kasema ni CBD? Hapo si ni Kabwe au?
Iko under under utilised hio stendiIgumbilo iringa
View attachment 2582870
Wambie watengeneza pale kitonga kwanza....unaweka bamdari ya mizigo huko na maroli yapata shida kupishana pale kitongaBandari kavu ya kusafirisha na kupakua mizigo gani?
Kumbe wilaya ya Bukoba mjini ndo inaongoza kwa kuwa na kiwango kidogo cha umaskini nchini na hamsemi....Nimesema mnioneshe kiwanda Cha Magodoro na sabuni huko Mwanza Bado mnapiga porojo tuu..
MbeyaView attachment 2583219
Stuka tuko 2023 ,mambo ya 2001 tena?Kumbe wilaya ya Bukoba mjini ndo inaongoza kwa kuwa na kiwango kidogo cha umaskini nchini na hamsemi....
Nasubiri takwimu za umaskini za kiwilaya tuone mbichi na mbivu...
Hii ni nyuma kudogo wilaya ya bukoba mjini ndo wilaya yenye maskini wachache nchini huku 89% ya wakazi wake wakiwa na kipato....nyie endeleeni kukalili takwimu zenu za mikoa kama kagera ambayo ina wilaya inayoongoza kwa ahueni wa umaskini yaanu Bukoba na biharamulo inayoongoza kwa umaskini nchini baada ya kakonko...
Ndo maana napenda walete report ya wilaya tuone wilaya ya bukoba, misenyi na muleba zipoje katika umaskini...View attachment 2583353View attachment 2583354View attachment 2583356View attachment 2583357
Leta takwimu za kiwilaya recent...hizo 2005......takwimu upingwa kwa takwimuStuka tuko 2023 ,mambo ya 2001 tena?
Kwa akili hizi si ajabu mnaongoza Kwa umaskini![]()