Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Ngoja Leo niwaheshimishe mbeya Kwa kushindana na ilemela.
Lenana
20230409_133338.jpg
 
Mbeya foam
P.O BOX
DAR ES SALAAM
Wivu Hadi Unajitoa ufahanu,umeona anuani ngapi hapo? 😁😁

Watu wa Mbeya wanapenda sana kwao ndio maana wanauza brand kubwa Mbeya foam..

Soma tena ,Dar ni branch tuu kama Dodoma,hapo Kuna anuani mbili..

Unadhani Kwa nini kampuni haikuita Dar foam ikaita Mbeya foam?
 
Wivu Hadi Unajitoa ufahanu,umeona anuani ngapi hapo?

Watu wa Mbeya wanapenda sana kwao ndio maana wanauza brand kubwa Mbeya foam..

Soma tena ,Dar ni branch tuu kama Dodoma,hapo Kuna anuani mbili..

Unadhani Kwa nini kampuni haikuita Dar foam ikaita Mbeya foam?
Ya mbeya ipo wap hapa
JamiiForums1354996829.jpg
 
Ili kufanya mji wa makambako kuwa logistic centre tayar tanroad wanajenga km zaidi 5 mjini na mkandarasi yupo kazini na TARURA wapo wanajenga km 4 mambo ni moto na mradi wa TACTICS haujaanza
FB_IMG_16798352662822629.jpg
FB_IMG_16810274637754098.jpg
 
Back
Top Bottom