Mbeya is next good thing.Shabiby akileta hizo 2by1 kama uliyotuma picha ziende Mbeya Dom au Dar Dom nimekaa pale
Hizo VIP so far zipo mbili tu na huwa zipo mbili kwake mara kibao tu toka zikiwa DEN, zikaja DPP kisha DYS.
Hizo za Dar Mbeya ni 45 seater buses with 2*2 seating arrangement brother plus hata za Mbeya Dom labda abadilishe lkn kwa sasa zipo 57 seater buses sasa sijui unabisha nn.
Anyways kakate tiketi kwenye hizo route mbili ulizotaja ukipata 2by1 bus nidai pesa yako
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Hao Machinga wenu waje kujifunza Kwa Wajasiliamali wa MbeyaWanazidi kumiminika kuja kuishi na kutembea jijini Mwanza
Sent from my SM-N950U using JamiiForums mobile app
Yaani Hadi Leo hii hiyo Mikoa Haina warehouses za MSD? Huko kwenu ni zero kabisa.
Kwa hyo hata dar hamna ware house za msdYaani Hadi Leo hii hiyo Mikoa Haina warehouses za MSD? Huko kwenu ni zero kabisa.
Makambako Kuna viwanda vya msd,Mbeya Kuna zonal warehouse pale Iwambi.



Hesabu Mwenye hapa 👇
Baada ya kahama kukunyea umekimbilia kwenye mabusMbona hatuoni Mwanza Dar?




Mnakopa picha et kahama kama hakuna hakuna tu kahama hii hapa
Kahama ni glorified slum village,in no way inaweza shindana na NjombeBaada ya kahama kukunyea umekimbilia kwenye mabus![]()
Kahama ya miaka 90Mnakopa picha et kahama kama hakuna hakuna tu kahama hii hapaView attachment 2581924



Ni mavumbi ,kupauka na mabanda ya nyumba za uani 😁😁Mnakopa picha et kahama kama hakuna hakuna tu kahama hii hapaView attachment 2581924
Wale wa kabwe au sioHao Machinga wenu waje kujifunza Kwa Wajasiliamali wa Mbeya


au wale wa Mwanjelwa 

Naomba kuuliza.. hivi Mbeya Mjini ni wapi.Hao Machinga wenu waje kujifunza Kwa Wajasiliamali wa Mbeya
Haha ikifika levo hizo mbona mta
Ikifika level hizo mbona mtatusumbua sana